Ramli: Lady Jaydee kuolewa mara ya pili

Ramli: Lady Jaydee kuolewa mara ya pili

Hivi baba mwanaasha ameshasaini ile kitu ya Juzi Juzi?
 
Hahahaaa,kumbe ni maneno ya mpiga ramli? Huyo mtu maarufu, mwenye pesa zake na mwenye heshima ni nani?Au ni mwanasiasa?
Uwiiii ngoja nifunge bakuli sina mamilioni mie!

Ngoja nimalizie sehemu ya ramli iliyobakia

Atakuwa uncle King.....tawireeee
 
Ana hoteli au mpaka awe na nini ndio awe mfanyabiashara

Hoteli gani hiyo? Hivi unajua nini maana ya hoteli? Au ulimaanisha ule mgahawa na grocery ya MOG pale Kinondoni palipododa?

Nadhani ungemuita Mwanamziki Mkongwe maarufu inge-make sense lakini sio mfanyabiashara maarufu... huo ni ushabiki mandazi sasa.. watanzania wanamjua kama mwanamziki na sio mfanyabiashara.
 
Hoteli gani hiyo? Hivi unajua nini maana ya hoteli? Au ulimaanisha ule mgahawa na grocery ya MOG pale Kinondoni palipododa?

Nadhani ungemuita Mwanamziki Mkongwe maarufu inge-make sense lakini sio mfanyabiashara maarufu... huo ni ushabiki mandazi sasa.. watanzania wanamjua kama mwanamziki na sio mfanyabiashara.

Wivu tu kwani jide sio mfanyabiashara? Au ulitaka aambiwe bwana enu ndomo ndo mfanya biashara maarufu ndo mfurahi? Nfyuuuu ntolee wivu wako wa kichawi huo
 
Hoteli gani hiyo? Hivi unajua nini maana ya hoteli? Au ulimaanisha ule mgahawa na grocery ya MOG pale Kinondoni palipododa?

Nadhani ungemuita Mwanamziki Mkongwe maarufu inge-make sense lakini sio mfanyabiashara maarufu... huo ni ushabiki mandazi sasa.. watanzania wanamjua kama mwanamziki na sio mfanyabiashara.

Iwe hotel, mgahawa au duka still bado ni mfanyabiashara, usitake kujifanya una matatizo ya akili na huelewi nini maana ya biashara
 
Hahahaaa,kumbe ni maneno ya mpiga ramli? Huyo mtu maarufu, mwenye pesa zake na mwenye heshima ni nani?Au ni mwanasiasa?
Uwiiii ngoja nifunge bakuli sina mamilioni mie!

Labda atakuwa ney wa mitego
 
Msanii nguli wa bongo fleva, ambaye pia ni mfanyabiashara maarufu nchini , judith wambura mbibo maarufu kama lady jaydee, ivi karibuni ametabiriwa kuolewa tena mwaka 2017 na mpiga ramli aliyekwenda nyumbani kwa super star huyo masaki jijini dar es salaam.

Akizungumza kupitia kipindi cha msanii huyo, diary ya lady jaydee, mpiga ramli huyo alienda mbali zaidi kwa kumtabiria mwanaume atakaye muoa staa huyo, kuwa ni maarufu, mtu mwenye pesa zake na mwenye hadhi kwenye jamii, kitendo ambacho msanii huyo alionekana kukifuraia uku akisema kuwa mwaka 2017 sio mbali hali inayoonyesha msanii huyo kukubaliaba na utabiri huo.

Mbali na kumtabiria maisha yake ya kimapenzi, mpiga ramli huyo aliendelea kutiririka kuwa mwaka huu utakuwa mwaka wa mavuno na mafanikio kwa staa huyo, na ni mwaka ambao akitoa album, basi itafanya vizur sana sokoni.

mambo binafsi hayo.
 
Wote mmekoseaaaa.Kweli hii siri tunayo wachache sana! Shauri zenu maana ule wakati wa "Dare to talk openly" umeshaisha.Na wala sisemi miye nisijezeekea lupango!

Bado mswaada haujapitishwa bwana ebu kuwa open mdada
 
Back
Top Bottom