warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
Msanii nguli wa bongo fleva, ambaye pia ni mfanyabiashara maarufu nchini , Judith Wambura Mbibo maarufu kama Lady Jaydee, hivi karibuni ametabiriwa kuolewa tena mwaka 2017 na mpiga ramli aliyekwenda nyumbani kwa super star huyo Masaki jijini Dar es salaam.
Akizungumza kupitia kipindi cha msanii huyo, diary ya Lady Jaydee, mpiga ramli huyo alienda mbali zaidi kwa kumtabiria mwanaume atakayemuoa staa huyo, kuwa ni maarufu, mtu mwenye pesa zake na mwenye hadhi kwenye jamii, kitendo ambacho msanii huyo alionekana kukifuraia huku akisema kuwa mwaka 2017 sio mbali hali inayoonyesha msanii huyo kukubaliaba na utabiri huo.
Mbali na kumtabiria maisha yake ya kimapenzi, mpiga ramli huyo aliendelea kutiririka kuwa mwaka huu utakuwa mwaka wa mavuno na mafanikio kwa staa huyo, na ni mwaka ambao akitoa album, basi itafanya vizuri sana sokoni.
Akizungumza kupitia kipindi cha msanii huyo, diary ya Lady Jaydee, mpiga ramli huyo alienda mbali zaidi kwa kumtabiria mwanaume atakayemuoa staa huyo, kuwa ni maarufu, mtu mwenye pesa zake na mwenye hadhi kwenye jamii, kitendo ambacho msanii huyo alionekana kukifuraia huku akisema kuwa mwaka 2017 sio mbali hali inayoonyesha msanii huyo kukubaliaba na utabiri huo.
Mbali na kumtabiria maisha yake ya kimapenzi, mpiga ramli huyo aliendelea kutiririka kuwa mwaka huu utakuwa mwaka wa mavuno na mafanikio kwa staa huyo, na ni mwaka ambao akitoa album, basi itafanya vizuri sana sokoni.