Ranchoddas Shamaldas Chanchad

Alimaindi silencer daah
Tatizo la silencer akili hana ila ana uwezo mkubwa wa kukariri.... Ile barua angesoma na kuielewa wala asingemuharibia mkuu wake wa chuo lenyewe kwa kupenda sifa sasa kila mstari anaosoma akimaliza watu wanacheka na lenyewe linaona yes nimepatia kwelikweli
 
Ila aliwakomesha. Kuwapigia simu kujifanya Rancho kumbe anawaita awakumbushie ahadi waliyowekeana, hivi kilitokea nini hadi wakawekeana ile ahadi? Ni baada ya ile speech? Nimesahau
Baada ya kuedit ile speech jamaa akaenda akazingua wakamwambia aache kukalili blindly, akawaambia tungoje baada ya miaka 10 nani atakua more successful kati ya mkali wa kukalili na anayeelewa
 
Wakati niko chuo hiyo ndo ilikuwa one of my favorite movie ikawa kila nkiamka asubuhi sina pindi nafanya kuiplay. Mjamaa aliitendea haki sana hiyo movie na chemba lao la D-26
 
Ila katika hali ya kawaida inawezekana? Mtu unasoma huku ukijua mwisho wa siku cheti hata sio chako unaenda kukikabidhi kwa wenyewe
Alipewa sharti hilo baada ya kukutwa anafanya homework ya mtoto wa Waziri mkuu
 
Virus anatoa Pen huku Amalia ahahahahha

Wale wajinga walimkomesha, wamevamia harusi ya mwanae, wakaiba pepa, all in all wakamzailisha mwanae DUH
Thith ith a thimbol of excellenth... hahahaa
 
Hii muvi ina mengi sana ya kujifunza..
 
Jamani kuna ile moja ya kihindi kama comedy ina jamaa watatu walikuwa wakitafuta fedha/ hazina iliyofichwa waliambiwa na mzee mmoja tajiri alikufa na ajali. Tafadhalini naipenda balaa siijui jina lake.
Ni wanne... Walienda kuitafuta kwenye ...W... Mmoja alishawishiwa kuchukua gari la mzee wake.. likaenda kuharibika... Wanapata hela mwisho wa siku wanajikuta watoa msaada bila kutarajia..
 
Kuna sehemu ya wimbo ,kamstari kanasema
"The darkness is a sign of sunrise"
Halafu nkaja kureview kwa Fid Q
Anasema "Hakika Giza Totoro ni Ishara Ya Mapambazuko" in Walk It Off
Huwa wanachukua sehemu... Haswa kwenye riwaya mbalimbali
 
[emoji23][emoji23][emoji23] jamaa alitoa neno kama msamiati watu watafute maana yake... Darasa limemaliza vitabu vyote walivyokuwa navyo... Virus akawa anatafuta vitabu viwili viwili.... Kuja kutahamaki jamaa kaunganisha majina ya rafiki zake
 
[emoji23][emoji23][emoji23] jamaa alitoa neno kama msamiati watu watafute maana yake... Darasa limemaliza vitabu vyote walivyokuwa navyo... Virus akawa anatafuta vitabu viwili viwili.... Kuja kutahamaki jamaa kaunganisha majina ya rafiki zake
Ahahahaha virus alitolewa akili hahahaha alijiona lofa sana
 
Jamaa aliwekeana agano na kinyozi kama dogo akishika namba moja anyolewe ndevu zote
Hahahahaha kama nitakua sijasahau maana ni miaka toka niiangalie
Pia alisema wale rafiki zake na rancho wakipata kazi anyolewe mustache
 
Kuna some parts kwenye ile muvi chozi linakutoka kabisaaaaaaa
Kama yule jamaa aliyekataliwa project yake na virus mpaka akajinyonga hafu rancho akasema engineers walifeli kushindwa kutengeneza kifaa cha kupima mental pressure aisee ni movie moja nzuri sana
 
Walichomfanyia kilikuwa kitendo cha kinyama sana aisee hata mimi ningewamaindi
Hahaaa mkuu alikuwa anafundishwa madhara ya kukariri bila kuelewa na hili ndiyo tatizo tulilonalo katika mfumo wetu wa elimu Tanzania asilimia kubwa ya wanafunzi wanakariri hatari mpaka siku ya interview mtu anameza
 
Ni wanne... Walienda kuitafuta kwenye ...W... Mmoja alishawishiwa kuchukua gari la mzee wake.. likaenda kuharibika... Wanapata hela mwisho wa siku wanajikuta watoa msaada bila kutarajia..
Walikua wanne walikutana na sanju baba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…