Tatizo la silencer akili hana ila ana uwezo mkubwa wa kukariri.... Ile barua angesoma na kuielewa wala asingemuharibia mkuu wake wa chuo lenyewe kwa kupenda sifa sasa kila mstari anaosoma akimaliza watu wanacheka na lenyewe linaona yes nimepatia kwelikweliAlimaindi silencer daah
Alimgongesha mpaka kinyozi akazimaaaHahaha alimmaindi yule kinyozi mwenyewe alikuwa kalala akiwa ananyolewa aliponyanyuka kwenda kujitazama kwenye kioo lahaulaaa
Baada ya kuedit ile speech jamaa akaenda akazingua wakamwambia aache kukalili blindly, akawaambia tungoje baada ya miaka 10 nani atakua more successful kati ya mkali wa kukalili na anayeelewaIla aliwakomesha. Kuwapigia simu kujifanya Rancho kumbe anawaita awakumbushie ahadi waliyowekeana, hivi kilitokea nini hadi wakawekeana ile ahadi? Ni baada ya ile speech? Nimesahau
Alipewa sharti hilo baada ya kukutwa anafanya homework ya mtoto wa Waziri mkuuIla katika hali ya kawaida inawezekana? Mtu unasoma huku ukijua mwisho wa siku cheti hata sio chako unaenda kukikabidhi kwa wenyewe
Sawa mkuu lakini wewe unaweza kuwa unasoma tu mwisho wa siku unajua cheti si chako?Alipewa sharti hilo baada ya kukutwa anafanya homework ya mtoto wa Waziri mkuu
Thith ith a thimbol of excellenth... hahahaaVirus anatoa Pen huku Amalia ahahahahha
Wale wajinga walimkomesha, wamevamia harusi ya mwanae, wakaiba pepa, all in all wakamzailisha mwanae DUH
Hii muvi ina mengi sana ya kujifunza..2000000 - This is Ranchiddas father's monthly income.
*After Wipe two zero*
20000 - and this is Farhan father's monthly income.
*wipe two zero*
And this is Raju Rastog family income.
Hii kitu inakumbusha mbali na inaumiza mnoo. Wakati tuko shule unakua na friends tofauti tofauti na wote kwako familia zao ziko njema kuliko kwenu na bado unafanya mchezo na shule. Hii principal ilimuhamisha chumba Raju
Ni wanne... Walienda kuitafuta kwenye ...W... Mmoja alishawishiwa kuchukua gari la mzee wake.. likaenda kuharibika... Wanapata hela mwisho wa siku wanajikuta watoa msaada bila kutarajia..Jamani kuna ile moja ya kihindi kama comedy ina jamaa watatu walikuwa wakitafuta fedha/ hazina iliyofichwa waliambiwa na mzee mmoja tajiri alikufa na ajali. Tafadhalini naipenda balaa siijui jina lake.
Huwa wanachukua sehemu... Haswa kwenye riwaya mbalimbaliKuna sehemu ya wimbo ,kamstari kanasema
"The darkness is a sign of sunrise"
Halafu nkaja kureview kwa Fid Q
Anasema "Hakika Giza Totoro ni Ishara Ya Mapambazuko" in Walk It Off
[emoji23][emoji23][emoji23] jamaa alitoa neno kama msamiati watu watafute maana yake... Darasa limemaliza vitabu vyote walivyokuwa navyo... Virus akawa anatafuta vitabu viwili viwili.... Kuja kutahamaki jamaa kaunganisha majina ya rafiki zakeNilicheka siku hiyo yamechelewa pepa wanaambiwa muda umeisha wanaendelea wamemaliza anauliza Sir, do you know us? Do you know our names sasa mwenyewe msimamiaji hawaelewi anasema who are you? Minister's son? Even so I won't take your paper. Akachukua na karatasi za wenzie akavuruga na nyingine af ndukii..invigilator kabaki anatoa macho
Ahahahaha virus alitolewa akili hahahaha alijiona lofa sana[emoji23][emoji23][emoji23] jamaa alitoa neno kama msamiati watu watafute maana yake... Darasa limemaliza vitabu vyote walivyokuwa navyo... Virus akawa anatafuta vitabu viwili viwili.... Kuja kutahamaki jamaa kaunganisha majina ya rafiki zake
Tutabaki tunawapenda akina Farhan tuu na akina WangduHuwa wanachukua sehemu... Haswa kwenye riwaya mbalimbali
Pia alisema wale rafiki zake na rancho wakipata kazi anyolewe mustacheJamaa aliwekeana agano na kinyozi kama dogo akishika namba moja anyolewe ndevu zote
Hahahahaha kama nitakua sijasahau maana ni miaka toka niiangalie
Kama yule jamaa aliyekataliwa project yake na virus mpaka akajinyonga hafu rancho akasema engineers walifeli kushindwa kutengeneza kifaa cha kupima mental pressure aisee ni movie moja nzuri sanaKuna some parts kwenye ile muvi chozi linakutoka kabisaaaaaaa
Hahaaa mkuu alikuwa anafundishwa madhara ya kukariri bila kuelewa na hili ndiyo tatizo tulilonalo katika mfumo wetu wa elimu Tanzania asilimia kubwa ya wanafunzi wanakariri hatari mpaka siku ya interview mtu anamezaWalichomfanyia kilikuwa kitendo cha kinyama sana aisee hata mimi ningewamaindi
Walikua wanne walikutana na sanju babaNi wanne... Walienda kuitafuta kwenye ...W... Mmoja alishawishiwa kuchukua gari la mzee wake.. likaenda kuharibika... Wanapata hela mwisho wa siku wanajikuta watoa msaada bila kutarajia..