Bob Manson
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 4,158
- 7,787
- Thread starter
- #41
Sure i can prove, When GOD breathes His spirit into Adam."the foundation of our lives is our spirit"
Can you prove this mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sure i can prove, When GOD breathes His spirit into Adam."the foundation of our lives is our spirit"
Can you prove this mkuu?
Good question brother🫡Why almost everything has to be spiritual especially in Africa?
MKuu ungekuja na ujumbe wa neno la Mungu kuwahasa vijana wapunguze au waache kujamiianaIf that person is your wife, then you can absorb positive vibes to. That's why I said sex is sacred act
😂Minjingu company limited
I ask myself countless timesGood question brother🫡
Naona unapinga bila kuchoka mjumbe 😂😂😂hutaki weekend Yako iharibikeSasa upewe ya ovyo ovyo good vibe utatoa wapi..... Ni mind game tu
noma sana, wakishafika hapo wanakuwa wapole😂Minjingu company limited
Mkuu lengo la ujumbe nilio utoa sio kuhimiza watu kupima guilt au trauma.MKuu ungekuja na ujumbe wa neno la Mungu kuwahasa vijana wapunguze au waache kujamiiana
Yani unataka tupime guilt na Trauma kabla ya mtongozo? Tunatumia kipimo gani sasa??
Kuishi kwa mbolea sio mchezo😁noma sana, wakishafika hapo wanakuwa wapole
Sometimes life is just about mindsetI ask myself countless times
🤣 🤣 🤣 🤣 eti mbolea, nikumuona mjomba wangu (kanasa gridini) nazidi kuiabudu MamujeeKuishi kwa mbolea sio mchezo😁
Mkuu umenifanya niahirishe na mapicha yako ya hayo madudu leo nilikua nina show mahali, ila nilivyoona hizo njugu mawe kweli abdala kichwa wazi kawa mpole kama sio yeye masaa mawili nyuma😁noma sana, wakishafika hapo wanakuwa wapole
unameza kidonge mithili ya dole gumba
🤣 🤣 🤣 🤣 au nikupostie picha ya Diana Aston Villa ya before na after ?Mkuu umenifanya niahirishe na mapicha yako ya hayo madudu leo nilikua nina show mahali, ila nilivyoona hizo njugu mawe kweli abdala kichwa wazi kawa mpole kama sio yeye masaa mawili nyuma😁
Oya gridi sio masihara, inabidi ule mbolea ili usife sasa.😁🤣 🤣 🤣 🤣 eti mbolea, nikumuona mjomba wangu (kanasa gridini) nazidi kuiabudu Mamujee
noma sana, tumieni kinga aiseeOya gridi sio masihara, inabidi ule mbolea ili usife sasa.😁
Kwahio mjomba kanasa 😂, ina maana kutumia durex kwake ilikuwa mwiko?🤣 🤣 🤣 🤣 eti mbolea, nikumuona mjomba wangu (kanasa gridini) nazidi kuiabudu Mamujee
Kinga kamili ni mkono wako tu 😁noma sana, tumieni kinga aisee
mkuu usicheke, nikikuonesha before yake(miaka ya 2003) na after yake aisee, alaaniwe aliyeleta hili gonjwaKwahio mjomba kanasa 😂, ina maana kutumia durex kwake ilikuwa mwiko?