Bob Manson
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 4,158
- 7,787
- Thread starter
-
- #61
Kuhusu gizani au kwenye mwanga ni maamuzi tu ya wahusika, kuhusu hiyo milio pia ni maamuzi ya mhusika. Bado haiondoi ukweli wa kwamba Sex is sacred actImani potofu
Eti 'sacred act' sacred act inafanyika gizani?
Sacred act mtu analia 'fvck me daddy'?
π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ wale wa Mbezi Beach ndiyo wanalia ivi , wa chanika je ?'fvck me daddy'
Acha tu mkuu utanivuruga zaidiππ€£ π€£ π€£ π€£ au nikupostie picha ya Diana Aston Villa ya before na after ?
Ni kweli zinaa ina madhara makubwa hapa duniani na badae huko Mbinguni.Huo ndio ukweli tunaoukataa
Sometimes watu wanatembea na laana na mambo machafu ukikutana nao ni mikosi na mabalaa had unaomba Pooh
Ndo maana tuliambiwa tusiikaribie zinaa
2001-2003 ilikuwa peak years za ngwengwe kabla ya graph yake kuanza kushuka taratibu. Nashukuru miaka hio nilikuwa young pineus maana kama balehe ingenikutia humo basi hii ingekuwa imeendaπ!!!mkuu usicheke, nikukuonesha before yake(miaka ya 2003) na after yake aisee, alaaniwe aliyeleta hili gonjwa
anko alikuwa mzee wa kuloweka, nailoni kwake mwiko
Kuhusu kuwa popular sijui, ila ni jambo la kawaida na lipo tangu enzi.HΓ¬zi mambo za energy mbona zimekuwa popular sana awamu hii ya Samia!π€
Zinaa ni mlango wa mabalaa na mikosi japo wengi wanaona fashion. Kuna watu wana laana na magonjwa na mikosi tunayavagaa tuπ! Ukishtuka ushajipachika kwenye Kidatu Power House.Huo ndio ukweli tunaoukataa
Sometimes watu wanatembea na laana na mambo machafu ukikutana nao ni mikosi na mabalaa had unaomba Pooh
Ndo maana tuliambiwa tusiikaribie zinaa
mbaazi zimesaidia sana, zamani, unakufa na pneumonia na 1kg ya mwili sandukuni, leo hii ni vifo vya ghafla ukiwa na 65kg zako2001-2003 ilikuwa peak years za ngwengwe kabla ya graph yake kuanza kushuka taratibu. Nashukuru miaka hio nilikuwa young pineus maana kama balehe ingenikutia humo basi hii ingekuwa imeendaπ!!!
Nimeanza kula mbwasha from 2007 and ahead. Japo kwa uchache sana maana nilikuwa naogopa chicks.
Ndio ukweli japo wengi tunapingaNi kweli zinaa ina madhara makubwa hapa duniani na badae huko Mbinguni.
Kidatu power house ndo nnπππZinaa ni mlango wa mabalaa na mikosi japo wengi wanaona fashion. Kuna watu wana laana na magonjwa na mikosi tunayavagaa tuπ! Ukishtuka ushajipachika kwenye Kidatu Power House.
Oya hali ilikuwa tete, vijana waliokuwa balehe kwa miaka ile ya kuanzia 1996 kuja mpaka 2004 ilikuwa ni balaa.mbaazi zimesaidia sana, zamani, unakufa na pneumonia na 1kg ya mwili sandukuni, leo hii ni vifo vya ghafla ukiwa na 65kg zako
LA75 oyeeee
Fafanua kdgo hapo mkuuTuitumie hii njia kumaliza umasikini.
NgwengweKidatu power house ndo nnπππ
Kama mikosi ya umasikini au balaa vinaweza kuambukizwa kwa kushiriki ngono na watu wenye mikosi basi hata utajiri na mafanikio vinaweza kuambukizwa kwa kushiriki ngono na watu wenye utajiri, mafanikio na maisha bora.Fafanua kdgo hapo mkuu
Katika hilo la umaskini na utajiri sifahamu uwezekano kama upo ama la, labda tuzidi kufanya tafiti na kujifunza vyema juu ya mada hii.Kama mikosi ya umasikini au balaa vinaweza kuambukizwa kwa kushiriki ngono na watu wenye mikosi basi hata utajiri na mafanikio vinaweza kuambukizwa kwa kushiriki ngono na watu wenye utajiri, mafanikio na maisha bora.
Tatizo ni hiyo dini ya muarabu uliyomezeshwa.Kuhusu gizani au kwenye mwanga ni maamuzi tu ya wahusika, kuhusu hiyo milio pia ni maamuzi ya mhusika. Bado haiondoi ukweli wa kwamba Sex is sacred act
Kumbe πππNgwengwe