Richard spencer
JF-Expert Member
- Feb 22, 2021
- 1,225
- 1,993
Mnatia aibu yani Reference yenu daily ni Simba....utopoloooooo wa headMi naona kama hata fit tuwape makolo.......coz ndugu zetu hawa .....now days wanafeli sana kwenye scouting
Acha ujinga ww hakuna mchezaji wa kulipwa dola 150k pale!! Yule mshahara haufiki dola 50k .Hawana ubavu labda ahiari mwenyewe. Hawana hela.
Huko aliko mshahara wake dola 150,000 kwa mwezi, watalipa hawa makolokolo hawa?
🤣🤣🤣Watamleta kuwa mgeni wao rasmi kwenye ile siku yao ya simba day!! Unamchezea Mwenyekiti Murtaza Mangungu wewe!!
Mafanikio makubwa msimu huu ilikuwa kumleta Manzoki apige picha na mashabikiSimba Day...atakuja
Mshambuliaji anahitajika, ili Mayele apate nafasi ya kupumzika baadhi ya mechi. Mayele huyo kila mechi mpaka inafika time anakuwa ha perform kutokana na fatique ya mechi za mfululizo.Ni usajili wa kimhemko( kama kweli atakuja), kwanini wasiletwe mawinga na fullbacks wazuri sababu hayo ndio maeneo yenye mapungufu makubwa.
Yanga hatuna haja na mshambuliaji.
Na hiyo timu iliyoshuka daraja ikamtoa pyramidsNaona mmeitoa timu iliyoshuka daraja
Mayele haanzi kila mechi halafu huyo chivaviro ni mchezaji wa kuanza sio bench.Mshambuliaji anahitajika, ili Mayele apate nafasi ya kupumzika baadhi ya mechi. Mayele huyo kila mechi mpaka inafika time anakuwa ha perform kutokana na fatique ya mechi za mfululizo.
Sijasema kuanza, ni kucheza.Mayele haanzi kila mechi halafu huyo chivaviro ni mchezaji wa kuanza sio bench.
Suala la uchovu unalikuza sana kuliko uhalisia. Ligi yetu ina vilabu 16 tu hivyo kwa msimu Yanga Fc inacheza mechi 32 ambazo ni chache kufananisha na ligi kubwa duniani.Sijasema kuanza, ni kucheza.
Na sababu ni hiyo, hakuna wa kaliba yake. Wenzake wanaweza kukaa hata mechi mbili bila kupangwa, wanafanya rotation. Yeye hata kama kocha anampango wa kumpumzisha, basi lazima amuweke standby, timu ikichelewa kupata matokeo aingizwe.
Sio Chiva tu, hata Mayele sio mchezaji wa kukaa benchi lakini wale sio marobot, wanahitaji muda wa kutosha wa kureserve nguvu ili wa perform vizuri zaidi na njia bora zaidi ni hiyo rotation.
na jana mkacheza na shabiki wenu.raha tu.Yaaah mkuu yeyote anayecross njia ya wananchi.....ni kufyekwa tu
Usijiongopee mkuu, timu ya mataji inatakiwa iwe na watu yani kwenye namba inatakiwa wawe wawili wawili wenye uwezo unaolingana na sio anaumia Mayele alafu nje back up yake Mzize ni uongo huo, Mzize mzr ila bado anajifunza, na ilipofika Yanga kwa sasa inahitaji kuwe na watu mana tumeonesha ubabe msimu huu msimu ujao tutakamiwa sana, hizo nafasi ulizosema zizibwe na fowadi pia ya kiwango iongezwe, kama man city vilee..Ni usajili wa kimhemko( kama kweli atakuja), kwanini wasiletwe mawinga na fullbacks wazuri sababu hayo ndio maeneo yenye mapungufu makubwa.
Yanga hatuna haja na mshambuliaji.
Angalia kwa mapana mkuu, ligi ina timu 16 lkn kwa ss mashindano ni mengi kuna azam confederation, kuna ligi, kuna mapinduzi alafu kuna caf, siku hizi timu zetu hazitoki mapema huko CAF, ukiwa na kikosi chembamba unakata moto mapema.Suala la uchovu unalikuza sana kuliko uhalisia. Ligi yetu ina vilabu 16 tu hivyo kwa msimu Yanga Fc inacheza mechi 32 ambazo ni chache kufananisha na ligi kubwa duniani.
Kuwa na mastriker wanaotofautiana uwezo ni jambo la kawaida tu kwenye mpira na kwa ligi yetu hapa Musonda na Mzize wanatosha kabisa.
Mimi sioni ni vipi Chivaviro anaweza kucheza na Mayele.
Simba hawana pesa za kumtoa mchezaji southMtu mwengine ni dogo mmoja anaitwa KATLEGO OTLADISA hajaonekana akifunga sana ila Yuko poa sana ni maelekezo(coaching) tu yanahitajika na tulimuona Kwa mkapa alivosumbua na Umri26 wake kijana unafaa.
Ranga chivaviro, Ranga amekua na Umri mkubwa kulinganisha na dogo huyu kwani ameifungia sana team yake hasa mabao ya ushindi, umri30 SI mbaya sana.
Kwangu Mimi naona Otladisa anafaa kuja Kati ya Simba,yanga, ama Azam. SI lazima mtu awe ameifungia mabao mengi Cha msingi ni uwezo tu na makocha tunao.
KabisaAngalia kwa mapana mkuu, ligi ina timu 16 lkn kwa ss mashindano ni mengi kuna azam confederation, kuna ligi, kuna mapinduzi alafu kuna caf, siku hizi timu zetu hazitoki mapema huko CAF, ukiwa na kikosi chembamba unakata moto mapema.