Richard spencer
JF-Expert Member
- Feb 22, 2021
- 1,225
- 1,993
Ni usajili wa kimhemko( kama kweli atakuja), kwanini wasiletwe mawinga na fullbacks wazuri sababu hayo ndio maeneo yenye mapungufu makubwa.
Yanga hatuna haja na mshambuliaji.
Yanga hatuna haja na mshambuliaji.