Richard spencer
JF-Expert Member
- Feb 22, 2021
- 1,225
- 1,993
Mbona Musonda humtaji? Mzize bado anahitaji muda, akivumiliwa baadae unaweza shangaa akatubeba kama alivyokuwa Simon Msuva.Usijiongopee mkuu, timu ya mataji inatakiwa iwe na watu yani kwenye namba inatakiwa wawe wawili wawili wenye uwezo unaolingana na sio anaumia Mayele alafu nje back up yake Mzize ni uongo huo, Mzize mzr ila bado anajifunza, na ilipofika Yanga kwa sasa inahitaji kuwe na watu mana tumeonesha ubabe msimu huu msimu ujao tutakamiwa sana, hizo nafasi ulizosema zizibwe na fowadi pia ya kiwango iongezwe, kama man city vilee..
Musonda sio natural striker ndio maana mechi nyingi anatokea pembeni, na ni mzuri akitokea pembeni, Mzize anahitaji muda ndiyo so huwezi kuwa timu ya kugombania mataji ya Afrika alafu una wachezaji wanaohitaji muda, utakuwa kichekesho kama Arsenal, wakati mzize anazidi kupata uzoefu ni vzr kuwa na wanaume wa shoka, yn toa mtu unaingiza mtu.Mbona Musonda humtaji? Mzize bado anahitaji muda, akivumiliwa baadae unaweza shangaa akatubeba kama alivyokuwa Simon Msuva.
Man city pale Haaland kamuacha mbali Alvarez.
Sawa kila mmoja na mtazamo wake, mimi kwa upande wangu nimeona hivyo.Suala la uchovu unalikuza sana kuliko uhalisia. Ligi yetu ina vilabu 16 tu hivyo kwa msimu Yanga Fc inacheza mechi 32 ambazo ni chache kufananisha na ligi kubwa duniani.
Kuwa na mastriker wanaotofautiana uwezo ni jambo la kawaida tu kwenye mpira na kwa ligi yetu hapa Musonda na Mzize wanatosha kabisa.
Mimi sioni ni vipi Chivaviro anaweza kucheza na Mayele.
Labda ubahili, pesa ya super cup ipo.Simba hawana pesa za kumtoa mchezaji south
Kutokana na mila pamoja na desturi ya kwetu huyo mchezaji hafai kucheza Tanzania, KATLEGO ni mchezaji mzuri lakini kashajitangaza kuwa ni upindeMtu mwengine ni dogo mmoja anaitwa KATLEGO OTLADISA hajaonekana akifunga sana ila Yuko poa sana ni maelekezo(coaching) tu yanahitajika na tulimuona Kwa mkapa alivosumbua na Umri26 wake kijana unafaa.
Ranga chivaviro, Ranga amekua na Umri mkubwa kulinganisha na dogo huyu kwani ameifungia sana team yake hasa mabao ya ushindi, umri30 SI mbaya sana.
Kwangu Mimi naona Otladisa anafaa kuja Kati ya Simba,yanga, ama Azam. SI lazima mtu awe ameifungia mabao mengi Cha msingi ni uwezo tu na makocha tunao.
Ahahahahahaaaa, najua umeitaja SImba kuwauza akina Kalpana et elKama yuko vizuri aje tu maana yanga ya sasa ni ya kimataifa inatakiwa mchezaji mwenyewe alilie kuja Yanga halafu Yanga ndiyo imuangalie kama anafit ama la, kama hafit anaweza kwenda timu zingine kama Azam, Simba au Singida, nazo ni nzuri zinamfaa pia.
Hahaha ha wewe jama unajua kujivuna khaaaaaKama yuko vizuri aje tu maana yanga ya sasa ni ya kimataifa inatakiwa mchezaji mwenyewe alilie kuja Yanga halafu Yanga ndiyo imuangalie kama anafit ama la, kama hafit anaweza kwenda timu zingine kama Azam, Simba au Singida, nazo ni nzuri zinamfaa pia.
Ingia kwenye page yake InstagramDuuuuh.....ya kweli hayo??
ILa tuache utani Kalpana wallah mmna hali ngumu sana na midomo yetu wana YANGA..!!Kashaona kama mlifurahi kuwatoa wao kama washuka daraja na kuona kama mmemshinda wydad basi mtamshobokea na yeye...
Undugu wa majungu hatutaki sie 😡😡😡[emoji23][emoji23] kolo ni ndugu zetu mkuu