Ranga Chivaviro yeye ni Yanga tu

ILa tuache utani Kalpana wallah mmna hali ngumu sana na midomo yetu wana YANGA..!!
Kuna rfk yangu ni mwana Yanga mbobevu..sasa ananisumbua sana kuniambia pole mara nina hali ngumu mara apige simu usiku nashtuka nadhani kuna tatizo ananiambia ni mambo yetu ya Yanga tuu nilitaka kukwambia..mimi jamani sina hali ngumu wala siteseki kihiiiiiivyoooooo....yani kawaida tuu...
 
Sisi tunahangaika na usajili wenyewe wapo Tanga kutafuta mapaka mweusi. Tukizifunga timu oooh, ooh mbovu mara dhaifu. Muda wa usajili ni sasa nyiye Makolo
Simba aliwakanda bao mbili msijisahaulishe
 
Huyu jamaa ni mshambuliaji aina ya Nicklas Bendtner wa kawaida sana mtakuja kujuta ni mzito mno hata hizo goli sijui alifikishaje huko confederation!!!
Jamaa ni energetic sana
 
Yanga sasa tuache sifa, hawa makolo wataumia moyo hadi waseme sasa basi. akija yule mpiga vichwa, akakaa pale mbele na dogo clement mzizye, wakapata viasist viwili vitatu toka kwa max nzengeli na aziz ki, mbona wanaweza kufunga mtu hata kumi bila?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…