Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
huyo anapiga vichwa zaidi ya mzize. simba mna safari ndefu sana ya kuendelea kufungwa.
Nimeona clip zake Youtube, jamaa ni striker!huyo anapiga vichwa zaidi ya mzize. simba mna safari ndefu sana ya kuendelea kufungwa.
Hata Konkon YouTube anatisha.Nimeona clip zake Youtube, jamaa ni striker!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hata Konkon YouTube anatisha.
Vipi amekuja?RANGA CHIVAVIRO YEYE NI YANGA TU!!
"Ni kweli tunaendelea na mazungumzo na Yanga juu ya Uhamisho wa Ranga Chivaviro, mchezaji aliyefanya Vizuri kwenye michuano ya CAF ni wazi hawezi kukubali kubakia ikiwa timu imeshuka daraja, tunaipa kipaumbele timu inayocheza michuano ya CAF, tumepokea Ofa kutoka Yanga na Azam FC na bado hutujafikia makubaliano"
"Ofa Yanga ni Nzuri na Rais Hersi Saidi ametupa Ofa nzuri na ni furaha kwa Ranga kuja Tanzania na Hersi Said atakuja hapa siku chache kumalizia makubaliano natumai Oscar tutaonana siku chache zijazo Tanzania"
HERVE TRA BI, Mkurugenzi wa TNB Sports Agency Management ambayo inamsimamia Mshambuliaji Ranga Chivaviro wa Marumo Galants
Sifa za ziada
Chivaviro = baleke + Phil+ robertinho + mudi..
Source: FutbalPlanetUpdates
Tuliza boli mkuu.Vipi amekuja?
Nikimkataa huko huko YouTube.Hata Konkon YouTube anatisha.
Itakua hukuziona zile clips alizokua anatupia.Nikimkataa huko huko YouTube.
Acha vituko mkuuTuliza boli mkuu.
Yaani kaa tu pembeni halafu angalia upande mwingine.Acha vituko mkuu
Nadhani wazo lako wameshalifanyia kaziItakua hukuziona zile clips alizokua anatupia.
Mpira ukija mguuni imo kichwani twende, nikajua mbadala wa MAYELE ameshapatikana.
Naamini FAFIZ KONKONI na MAMADOU DOUMBIA hawakua wachezaji wabaya, itakua kunakitu tu kimewaathiri walivyotua nchini.
YANGA ingekua inajiweza vilivyo kiuchumi wangewatioa kwa mkopo hata kwa miezi sita wakapate kujiamini huko halafu warudi wakiwa fit kuliko kuvunja mikataba.
Konkoni hakuna kitu pale wananchi tumepigwaItakua hukuziona zile clips alizokua anatupia.
Mpira ukija mguuni imo kichwani twende, nikajua mbadala wa MAYELE ameshapatikana.
Naamini FAFIZ KONKONI na MAMADOU DOUMBIA hawakua wachezaji wabaya, itakua kunakitu tu kimewaathiri walivyotua nchini.
YANGA ingekua inajiweza vilivyo kiuchumi wangewatioa kwa mkopo hata kwa miezi sita wakapate kujiamini huko halafu warudi wakiwa fit kuliko kuvunja mikataba.
Namuona mzee mpili anakunywa supuYaani kaa tu pembeni halafu angalia upande mwingine.
Mkuu usifanye dhihaka hata wewe unaweza Kujua kuwa kibogoyo.Namuona mzee mpili anakunywa supu
Duuuh! Ndio kwanza naskia kwako kuwa mzee mpili kibogoyoMkuu usifanye dhihaka hata wewe unaweza Kujua kuwa kibogoyo.
Mkuu pita kwa Nazareth upete kuna post ameweka kuhusu supu day ni nzuri ili uiweke hapaKalpana ni mwananchi kabisa