🤣🤣Hili gari sio la kidukulilo kweli?
45.8, pumbavu huna macho?Bei Gani?
Ok45.8, pumbavu huna macho?
[emoji2]unyama sana.bei ni simpo sana yoyote anaweza beba huyu mdudu.
nikiangalia ka Ractis kangu na hii Range nakosa kabisa hamu ya kula.
Siku hizi wanaitwa mapapaiHili choko kila jukwaa nikiingia yupo. Sijui mkosi gani huu
Ipo siku ntaacha kutumia jf
Ni jinsi gan unavyo nikubaliii, kila nakopita unanifataa.Hili choko kila jukwaa nikiingia yupo. Sijui mkosi gani huu
Ipo siku ntaacha kutumia jf
Ongeza bidiiunyama sana.bei ni simpo sana yoyote anaweza beba huyu mdudu.
nikiangalia ka Ractis kangu na hii Range nakosa kabisa hamu ya kula.
Ione tu kwa kua ina umbo zuri, unaweza kuimudu? Kaa tu na hicho ki Racts na mimi nikae na ki Starlet changuunyama sana.bei ni simpo sana yoyote anaweza beba huyu mdudu.
nikiangalia ka Ractis kangu na hii Range nakosa kabisa hamu ya kula.
Mwambie ashushe chapShusha had 40 niongee na sponsor wangu aninunulie.
Serious.
Bofya kitufye cha kum-ignore cocastic hutoona tena post zake. Muache kutukanana haina maana.Hili choko kila jukwaa nikiingia yupo. Sijui mkosi gani huu
Ipo siku ntaacha kutumia jf
Pumbavu tena?45.8, pumbavu huna macho?