Rich people problemsHabari, mimi sio mwandishi mzuri hivyo naomba penye makosa nivumiliwe.
Rafiki yangu anataka kununua gari ila yupo njia panda hajui achukue ipi kati ya gari hizi mbili.
1. Range Rover Velar
2. Toyota Land Cruiser TX
Kuhusu spare parts sijui mafuta sio shida kwake.
Ila sio mpenzi wa kukaa na gari muda mrefu, je akitaka kuja kuuza Velar ili abadilishe itauzika?
Kwa Wazoefu wa Magari mnamshauri achukue ipi?
View attachment 3073586View attachment 3073587
😹😹😹 matusi ya walala hoiVelar Baby
Sio mimi dear ni rafiki yangu usitake nitukanwe humu😂😂😂
Labda ajue anahitaji nini, maana kila gari hapo lina specializationHabari, mimi sio mwandishi mzuri hivyo naomba penye makosa nivumiliwe.
Rafiki yangu anataka kununua gari ila yupo njia panda hajui achukue ipi kati ya gari hizi mbili.
1. Range Rover Velar
2. Toyota Land Cruiser TX
Kuhusu spare parts sijui mafuta sio shida kwake.
Ila sio mpenzi wa kukaa na gari muda mrefu, je akitaka kuja kuuza Velar ili abadilishe itauzika?
Kwa Wazoefu wa Magari mnamshauri achukue ipi?
View attachment 3073586View attachment 3073587
Tatizo lao wamekariri, wao kutoa vocha tu basi masimango mji mzima hawaamini km kuna watu wananunua range kwa ajili ya wake zaoOntario alishare picha yao huko forex wapo wamechoka balaa wameishiwa matumaini ya maisha!!!
so mtu ukiongea kitu kizuri hasira zao wanakuja kukumalizia utafikiri mimi ndiyo nimewapa maisha mabovu!!
Yaani na hivi nipo tu nyumbani nitaenda nao tu sawa wanipotezee muda uende!
Mwanaume akiwa na 40 miaka na kwenda juu, akashindwa mnunulie mpenzi wake hata IST... 😯😯😯Tatizo lao wamekariri, wao kutoa vocha tu basi masimango mji mzima hawaamini km kuna watu wananunua range kwa ajili ya wake zao
Kwamba wanaume wote wenye 40+ wametununulia ist hivi mnaishigi kwenye dunia ipi? Huku mtaani hiyo foleni si ingekuwa balaa,Mwanaume akiwa na 40 miaka na kwenda juu, akashindwa mnunulie mpenzi wake hata IST... 😯😯😯
ila yote maisha
OK karibu PM mkuu nikupe namba wiki mbili hizi nashinda kwenye minada ya magari ni rahisi kupata majibu sahihi.Mkuu Isanga family naweza kupata mawasiliano yako (hata private message).
Kama nilivokueleza, juzi, kuna jamaa yangu anahitaji msaada wako kuhusu kuagiza gari kutoka S.A.
Nakutegemea sana boss
Nisaidie mawasiliano yako.
Point yangu ni kuwa nataka nimpe mawasiliano yako atakucheki moja kwa moja, kuliko hivi nauliza maswali , unanipa jibu, anauliza tena swali.
Niliandika hivi kama trick.. hali ya uchumi sio rafiki, ila naamini wanaume wengi wanapenda sana kuwapa raha wake zao kwa vitu vizuri.. sema mifuko sasa imerobokaKwamba wanaume wote wenye 40+ wametununulia ist hivi mnaishigi kwenye dunia ipi? Huku mtaani hiyo foleni si ingekuwa balaa,
Waambie jibu rahisi tu, kuwa na pesa sio kuwa na ufahamu wa kila kitu au kujitenga na jamii.Nikupe ushauri Mkuu, usimjaji mtu.
Sababu baadhi yenu wachache mmeongea hili acha nielezee kidogo.
Kwanza ananunuliwa na Mumewe na sio gari ya kwanza.
Alianza na PREMIO, akaja Vanguard, ikaja tako la nyani now ana Harrier Anaconda.
Katika gari zote hizo hamna aliekaa nayo miaka miwili.
Why kauliza??? Mume wake kamshauri amnunulie Prado yeye anapenda Velar, Mumewe akamuambia sababu mkewe sio mkaaji wa magari atampa tabu akitaka uza haitouzika kwa haraka kama Prado na Mume sio mpenzi wa Range
Licha ya kununuliwa na Mume hata Mke akiamua ajinunulie uwezo anao hayupo kinyonge pia.
pia mhusika hajaja humu kuuliza ni mimi nilietaka kusikia maoni ya watu ili nimshauri vizuri.
Tuacheni makasirikio Watanzania mnapenda habari za huzuni na kimaskini, sijui kwanini tuna kijiba cha roho na mafanikio ya watu
Watu hawajui hayo matokeo yake wamenikwaza mpaka nimetoa maneno yasiofaa.Waambie jibu rahisi tu, kuwa na pesa sio kuwa na ufahamu wa kila kitu au kujitenga na jamii.
Binafsi sioni shida mtu mwenye hela nyingi kuja kuuliza jambo la kawaida au ushauri hapa, JF ni jamii.
Kuna matajiri ni wanyenyekevu sana, achana na ambao akiwa na milioni mifukoni anaona kila mtu mjinga.
Mimi nimekuelewa sana Mkuu
G wagon naijua pengine hata unavyoifahamu! Usiangalie kwamba gari maarufu au kisa inatumika na celebrities ndio ukamilishe kwamba itakua bora! Land cruiser ni gari ile haswa tena au pengine kwavile zipo nyingi ndio unazionea jauHivi umeongea nini yaani Mercedes Benz G wagon ufananishe na Land Cruiser hizi gari mnazozizungumzia mnazijua kweli au mimi sijaelewa Mercedes G wagon ufananishe na LC tena unasema imezidiwa?.
Tunaongelea g wagon na Land Cruiser ghafla unaleta picha ya defender!, unanipa wakati mgumu kujua unabisha niniHizi gari hauzijui brother tuishie hapo.View attachment 3092825View attachment 3092826View attachment 3092827
Wewe kachangie kwenye nyuzi ya kuliwa kimasihara, huku umekua kitukoMagari ya Toyota ni mazuri kama magari mengine isipokuwa argument yangu hapa ni kuwa bei ya Land Cruiser ni kubwa zaidi ya value yake; hiyo ni kwa sababu ya jina tu siyo kwa sababu ya reliability.
Reliability siyo kitu permanent; usisema tu kuwa Toyota ina track record ya reliability kwa miaka mingi hivyo ni bora sana. Hata Sony na Panasonic walikuwa na track record nzuri sana ya ubora wa bidhaa za electronics miaka ya zamani lakini hali siyo hivyo leo, wanapitwa mbali sana na Samsung ingawa Sony imeanza kuamka tena lakini bado haiwezi kuifikia Samsung.
Mimi nimemtema huyo jamaa yaani G Wagon ambayo inaweza kununua hizo Land Cruiser mpya 4 harafu anafananisha ubora na mapumziko kwenye hizo gari na anatumia nguvu kweli Watanzania wengi hawayajui magari aisee hii mambo huwezi kumkuta Mzambia/Mkongo DRC akilinganisha haya magari hata awe wa kijijini ila Mtanzania wa mjini kabisa anaongea hiki kitu..Huo ndio uwezo upeo wa mantiki yako kwenye mada hii. Sina uhakika kama kweli unayajua magari kwani inawezekana wewe ni dereva wa landcruiser ya mbunge ambaye huwa anaku-kula wewe kimasihala tu baada ya kazi kwa hiyo hujui magari mengine yoyote duniani.
Wewe ndie unaliwa kimasihara chakula cha mwenye gari! Kwa comments zako nimeona kabisa hujui kuhusu magari ila unafosi tu,Huo ndio uwezo upeo wa mantiki yako kwenye mada hii. Sina uhakika kama kweli unayajua magari kwani inawezekana wewe ni dereva wa landcruiser ya mbunge ambaye huwa anaku-kula wewe kimasihala tu baada ya kazi kwa hiyo hujui magari mengine yoyote duniani.
Umenikimbia kwakua huna hoja usikute hata hizo g wagon hujaziona live unatishia kuona kwa ma celebrities, usiangalie bei ya kitu ndio ubjtimishe kwamba itakua kimara kuliko ziingineMimi nimemtema huyo jamaa yaani G Wagon ambayo inaweza kununua hizo Land Cruiser mpya 4 harafu anafananisha ubora na mapumziko kwenye hizo gari na anatumia nguvu kweli Watanzania wengi hawajui magari hii mambo huwezi kumkuta Mzambia akilinganisha hata awe wa kijijini.