Just Distinctions
JF-Expert Member
- May 5, 2016
- 3,230
- 6,742
Grey is the new cream, mi ningeenda na hiyo na ukichanganya na nyeupe inakua unyama zaidiWakuu habari za uzima?
Wataalamu na mafundi naomba kuuliza ni rangi gani nzuri ya kupaka ndani, haswa sebule?
Kuna ulazima rangi iwe ya aina moja sebuleni na sehemu ya kula chakula?
conductor
Na wengine wenye ujuzi.
Karibuni.
๐คฃ๐Green and Yellow
Wakuu habari za uzima?
Wataalamu na mafundi naomba kuuliza ni rangi gani nzuri ya kupaka ndani, haswa sebule?
Kuna ulazima rangi iwe ya aina moja sebuleni na sehemu ya kula chakula?
conductor
Na wengine wenye ujuzi.
Karibuni.
hiyo siyo nzuri sebuleni; unaihitaji kule recreation room na theater lakini siyo sebuleni. sebuleni panatakiwa pawe bright.
Thanks.Kijivu, nyeupe, cream ziko bomba
๐Duuh hatar hii mkuu.Green and Yellow
Shukrani sana mkuu wangu.RANGI utafsiriwa katika Sura mbili
1. Mteja anapenda RANGI ipi (blind colour) hapo ndo mtaalam uanzia hapo kufanya chemistry.
2.Je RANGI kitaalam inakidhi matumiz gani na WAPI.(,technical advise).
Tuanze na namba 1...
Mwanamke ni bora Sana katika kuchagua RANGI kuliko mwanaume (nature yao inajua matching kuliko wanaume). Hiyo nenda popote utaambiwa hivyo, kwasabab hizo mpe mama nafasi ya kupendekeza RANGI..utapunguziwa lawama za umekosea .
Twende number 2.
a). RANGI zinapatikana kwenye ujazo tofauti kutegemea na nchi (gallon), inaanzia litre 1- -20 huko, hizi unazikuta madukani tayari na kuna Aina nyingi Sana za rangi. na katika makundi ya RANGI ipi ya maji na ipi ya mafuta.
Ukiwa na maana ukipata ya maji hii inanyonya uchafu na huwezi kuiosha..hivyo ukiipaka sehemu zenye unyevunyevu haitadumu Sana ...
Na ya mafuta unaweza paka na ikichafuka unaosha kwa MAJI na kuwa mpya..pia ni nzur maeneo mengii.
Na RANGI kundi kingine ni Ile wewe unakwenda kiwandani unaomba wakuchanganyie utakavyo "(customerzed paint)..pia RANGI kadri zinavyokua bora na bei inabadirika, ...
Twende kwenye Ombi lako, kwa kurudiqa 1&2 hapo juu, na ukijua mazingira na matumiz ya nyumba yako,. Pia jua kuna RANGI zinafaa aina ya khali ya hewa pia mikoa ya joto na barid lazma ujue . Au Aina ya udongo , mfano Kigoma nyumba nje kupaka RANGI NYEUPE na mvua zile na udongo mwekundu ,itachoka na
kuonekana chafu mapema Sana, au dar RANGI nyeusi ni tatizo (GOOD CONDUCTOR).mimi Nina alerg na RANGI nyekundu,kijani na njano na blue...Ila broken white ya KIBOKO, Brocken white, NYEUPE na kijivu saf Sana kwangu.
Shukrani mkuu.Full white inaoendeza sana ndani na inaruhusu/kukubaliana na mapambo ya kila namna ina mvuto wa kipekee
Nunua au paka rangi ya Silk mtoto akichafua unafuta na kitambaa inakua mpyaaa
Duuh hiyo green and yellow kama jangwani pale๐๐๐
Taa zipo mkuu.Hii rangi inafanya sebule yako iwena giza maana naona hata taa unazo chache...
Ubaya mwingine wa rangi zilizo bold zinafanya space ionekane ndogo...
Wild lilac ndio nimepata iko poa sana hii rangiVery noisy[emoji119]
Light grey
Wild lilac
Blue ice
Creamor
Cream
Off white
Ivory
Broken white
Hizi zinakuruhusu kupangilia furniture zako vizuri na hazichagui sana Decor
Unaweza Tumia either Silver or Gold decors
Ni ofisi ya Yanga au ya CCM?Green and Yellow
Kama ofisi za ccm ๐Green and Yellow
Daah!Green and Yellow
Piga nyeusi kama kwa jirani yako.Kijivu, nyeupe, cream ziko bomba