Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thebony umeyajuaje maungo ya uzazi ya kijana mwenzio mpaka kutosikia maumivu?kuna kijana sehemu ya kchwa cha uume wake una
rangi kama ngoz ya mzugu ni ya sku nyng ila
haskii maumivu ya aina yoyote. je tatzo ni nin kwa
mwanaume kuwa nakchwa cha uume tofaut na
wengne???
Thebony umeyajuaje maungo ya uzazi ya kijana mwenzio mpaka kutosikia maumivu?
kuna kijana sehemu ya kchwa cha uume wake una
rangi kama ngoz ya mzugu ni ya sku nyng ila
haskii maumivu ya aina yoyote. je tatzo ni nin kwa
mwanaume kuwa nakchwa cha uume tofaut na
wengne???
Huyo Kijana Amekuonyesha wewe uume wake Kwa biashara gani?
We Daktari?
Km huyo Kijana hana maumivu au muwasho yyt hio ni Hali ya Kawaida. Na wanamme wengi tu yanawatokea hayo.
Ni mabadiliko ya White blood cells na hayana Athari yyt. Na pia nadhani atakuwa ametahiriwa. Km bado mwambie afanye kutahiriwa Haraka.
Magovi yanaleta maradhi mengi ya Uume.
Km una maswali ya ziada Uliza.
Hospital ndio kwa kupata majibu sahihi mpeleke rafiki mwemakama unae rafki anae kuamini na mnasaidiana matatzo basi hupasw kuniuliza wali kama hlo
Hospital ndio kwa kupata majibu sahihi mpeleke rafiki mwema
ok jaman mficha maradhi. .... ok yey ametahiliwa so ndo hvyo na je kuna dawa au ??
habar dr
kuna kijana sehemu ya kchwa cha uume wake una rangi kama ngoz ya mzugu ni ya sku nyng ila haskii maumivu ya aina yoyote. je tatzo ni nin kwa mwanaume kuwa nakchwa cha uume tofaut na wengne???
habar dr
kuna kijana sehemu ya kchwa cha uume wake una rangi kama ngoz ya mzugu ni ya sku nyng ila haskii maumivu ya aina yoyote. je tatzo ni nin kwa mwanaume kuwa nakchwa cha uume tofaut na wengne???
Mwambia ampigie kura LOWASSA