Huwezi kuomba dawa Bila Maradhi.
Kubadilika Kwa tabia ya white blood cells kunasababisha baadhi ya Sehemu za mwili kubadilika Rangi, na hilo sio jambo geni.
Huyo kijana wako mwambie HANA MARADHI.
Anachotakiwa ni Kula vyakula vyenye Bioflavenoids kwa wingi Kuboresha imune System yake ktk mwili.
Mwambie pia atumie Vitamins B and C. Hizo pia zinasaidia Kuboresha White blood Cells ktk Mwili.