Rapa Chemical : "Sijawahi kuguswa na mwanaume yeyote" Adai yeye ni Bikra

Mwenye akili timamu kwel anaweza mwingilia kichaa? [emoji848][emoji848][emoji848] labda kama ni masharti ya mgangaa
Heee wewe tembea uone. Hakuna masharti ya mganga wala masharti ya muaguzi....nye.ge tu
 
Inawezekana maana amekaa kigumu gumu tu wanaume hawapendi ugumu ingawa kesho tu inatabanduliwa na wanaojua kutumia fursa
 
Heee wewe tembea uone. Hakuna masharti ya mganga wala masharti ya muaguzi....nye.ge tu

Mkuu kwa jinsi wanawake walivyowengi kiasi hiki? Nye.ge haziui aisee ntakufa na utamu wangu ila sio kumuingilia kicha/ mtu mweny utindio wa ubongo

Kila mtu anastandard zake, mimi mwanamke hata awe na niniii, kama std zangu ajafika si.....!
 
Ni baadhi ya wasaniii wachache wasomi Tanzania.
 
Kumbe nawe ni msanii..?
Bongo kila mwanachuo msanii..[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hata twambie vipi na wewe huko nyuma bado bikra ipo?
Usidhani kama wewe ni shoga kila mtu ni shoga..
Sijawahi disrespect mtu hapa JF ila wewe; **** LA MAMA YAKO mbwa wewe.. Kafirwe na mashetani huko..
Ningekufahamu I could have broken your Neck motherfucker.
 
chemical muongo mimi niliambiwa bikira ni bikira maria pekee yake niliambiwa kanisan
 
*kuna nyimbo moja ameimba na msaga sumu alikuwa amevaa khanga anacheza na kukikata kiuno fresh tu.
*Pia sudi brown kwenye hii show alimuuliza Chemica kwamba nguo za ndani anapendelea kuvaa za kike au za kiume.
 
Biashara matangazo.

Mods kwavile nyie ndio mnacontrol post zote humu ndani,mtakuwa na information za kila mtu.

Naomba muwatag hii post wale wote walioshawahi kulalamika hawajahi kukutana na bikra.
 
Chemical ndio nani?na ni wa nchi gani?
 
Inawezekana lakini sitaki kubisha kwa maana simfahamu vyema
 
Mbona huyu dogo ndio inasemekana anaemsaga madam Sepenga kitambo tu
 
Kiukweli me namkubali sana huyu mtoto.....kuhusu bikra....mmmmm...inawezekana coz jinsi anavyopenda kujiweka ki Salama Salama inaweza ikachangia.

Kuna mazingira mengine kuitunza hiyo ni changamoto kweli kweli...sasa mtu kama yule Tunda hata ungempeleka ukamfiche kwenye Mars ndani ya dk tano tu Air bus inatua nyuma yako ikiwa na njemba full.....wote wanataka waitoe, atapenyea wapi?
 
Biashara matangazo.

Mods kwavile nyie ndio mnacontrol post zote humu ndani,mtakuwa na information za kila mtu.

Naomba muwatag hii post wale wote walioshawahi kulalamika hawajahi kukutana na bikra.
Good idea mkuu Analyse aka Dr. Ben Carson
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sura yake kama sholo mwamba .kuna kauwezekano maneno yake yana ukweli ndani yake.maana hata haiba ya kike hana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…