Mara ya mwisho nilisikia alikamatwa na intepool huko Hispania na walitarajia kumpeleka marekani kujibu mashitaka yake ya udanganyifu wa kodiMcAfee siku hizi kawa kama chizi yani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mara ya mwisho nilisikia alikamatwa na intepool huko Hispania na walitarajia kumpeleka marekani kujibu mashitaka yake ya udanganyifu wa kodiMcAfee siku hizi kawa kama chizi yani.
Jamaa pia allikuwa number 1 suspect kwenye mauaji ya majirani zake. Pia alitaka kumbaka mdada flani hivi aliyemchukua kama mtafiti wa madawa kwenye maabara aliyokuwa kaanzisha huko msituni. jamaa chizi chizi alikuwa analala na wanawake wengi anawalipa tu yani addicted to sexMara ya mwisho nilisikia alikamatwa na intepool huko Hispania na walitarajia kumpeleka marekani kujibu mashitaka yake ya udanganyifu wa kodi
Kwann kalipwa?
Kauza masters tape yake aise
Ova
marekani bunduki zinauzwa kibao tu ilimradi uwe una 18+yrsUkionesha unamiliki bunduki ndio unawindwa zaidi ili waichukue wakafanyie uhalifu
better keep low profile
kalipwa na nani?Katoka kulipwa dola millioni100 juzi tu huyu
kule hamnaga chakula kibovu mfungwa wa marekani anaishi maisha mazuri kuliko raia wa TanzaniaPole yake
Ila atajifunza maana miaka 10 jela kwenda kupiga punyeto na Kula chakula kibovu na madhila mengine ya kutosha atatia akilini
Vipi Punyetokule hamnaga chakula kibovu mfungwa wa marekani anaishi maisha mazuri kuliko raia wa Tanzania
interscopekalipwa na nani?
kuna jela mkeo anaruhusiwa kuja kukuonaVipi Punyeto
Kwahio Lil Wayne hakuwa na kibali cha kumiliki bunduki?marekani bunduki zinauzwa kibao tu ilimradi uwe una 18+yrs
Hakuwa nacho, convicted felon hawaruhusiwi kumiliki silahaKwahio Lil Wayne hakuwa na kibali cha kumiliki bunduki?
Ila wamarekani bwana wana upendo sana na mabunduki nilishawahi kumuona babu John McAfee akionesha mibunduki anayoimiliki eti ili kuwaogopesha wanaofikiria kwamba kwa sababu yeye ni mzee sasa ndii easy target
Manzi wako ana kutembelea unakula mzigo Kama kawaPole yake
Ila atajifunza maana miaka 10 jela kwenda kupiga punyeto na Kula chakula kibovu na madhila mengine ya kutosha atatia akilini
KumbeKule
Manzi wako ana kutembelea unakula mzigo Kama kawa
Ndio hivyo wenzetu wame advance mnooKumbe
Marekani hakuna mtu wa kukuvamia kukuibia bunduki uliyoonesha. Bunduki kule ni kama simu au baiskeli, mradi una akili timamu na mtu mzima.Ukionesha unamiliki bunduki ndio unawindwa zaidi ili waichukue wakafanyie uhalifu
better keep low profile