rape

karma alvin

Member
Joined
Jan 9, 2013
Posts
51
Reaction score
8
naomba kufahamu ivi mfano unaanza mahusiano na mtu hata hamja fahamiana vizuri wala kukubaliana chochote mara anataka uende ukamtembele mahali anapoishi unaamua kwenda, akakuomba mfanye mapenzi ukakataa akaamua kutumia nguvu yani anakuvua nguo kwa nguvu na kukufanya mapenzi bila ridhaa yako. je hili tendo ni ubakaji au ni nini.
 
Ulitoka nyumbani kwenu vizuri,kwenda kumtembelea mtu baki,ambaye hammrelate naye bloodly. Ukavua viatu mlangoni na kuzama ndani! Akakuvua blauzi,skirt,tyt na gaguloo huku ukimwangalia tu,kisha akaa....aaaagh! Si0o ubakaji,unatafuta tu sympathy hapa!
 
Kifupi ni ubakaji kama kweli hukubaliana naye kufanya hivyo (consent) consent hayo consent ni kigezo kikubwa katika kesi za ubakaji na haijalishi kuwa ulijipeleka kwake au la. Vigezo vinafuata na kigezo kikubwa kama aliweza kukuingilia ukeni (penetration)
 
huo ni ubakaji ndugu. rejea hapa utapata maelezo vizuri sana kwenye kitabu hiki SHERIA KWA KISWAHILI

lakini, alivyoanza kukufanya hivyo, mlikuwa katika mazingira gani, mlikuwa chumbani kwake wawili tu mmefunga mlango au mlikuwa sebuleni, kama mlikuwa chumbani uliingia chumbani kufanya nini, je, ulipiga kelele, alikutishia au ilikuwaje? nauliza hivi kwasababu itahitajika upande wa mashitaka kutoa ushahidi wa kutosha kuthibitisha kuwa mlifanya mapenzi bila ridhaa yako na kweli wewe haukuwa na ridhaa. however generally kwa ulichoongea ni rape kisheria kama itathibitika.
 

kwanza upunguze kiherehere kwenda kwenye nyumba za watu,mpaka unaenda ulikuwa unajua lzma uombwe na wewe ulitaka,alivokuvua ulipiga kelele si ulikaa kimya? Jibu sikupi
 

Ni UBAKAJI.
Ila namna ya ku prove allegations zako before the court ndio itaamua hapo.
BTW Umakini kwetu wanawake unahtajika kujiepusha na dhahma zisizo tarajiwa
 

Huo sio ubakaji km hutaki nataka basi usiende endelea kupiga ponyeto
 

Kisheria nadhani ni ubakaji kwani hata bondia wa zamani wa marekani Tyson alifungwa kwa kosa la kumbaka mshiriki wa Miss Black Amerika (Desiree Washington), ingawa mrembo huyo alitoka katika kambi yao usiku wa manane na kwenda katika chumba cha hoteli alimokuwamo Tyson, baada ya kufanya mapenzi, kesho yake mrembo alishiriki kwenye mashindano na baada ya mashindano kuisha ndipo alienda polisi kuripoti kubakwa. Mahakamani Tyson alipatikana na hatia ya kubaka, alipokuwa jela watu wa mashtaka walimuambia Tyson akubali kosa la kubaka ili apunguziwe kifungo lakini alikataa kukubali kosa.

Pia kwenye baadhi ya nchi hata mke akikataa kufanya mapenzi ukamlazimisha basi anaweza kuripoti kubakwa na wewe. Nadhani hapa kwetu sheria hii haipo.

Ila kwa mtazamo wangu huo si ubakaji kwani mabinti wanatakiwa wajue kwamba mtu anapokufuata na kuanzisha mahusiano nawe anachotaka ni ngono, hayo mengine ni mbwembwe tu, hivyo unavyokula vyake na kwenda kumtembelea anapoishi ni wazi umeafiki ngono.
 
Wanaume mkijifanya waoga wa sheria ya ubakaji, mtakuwa siku zote mnatuacha sisi wanawake na GENYE zetu. Kwa kawaida huwa tunavunga tu kwamba hatutaki kumbe tunataka. Hivyo mwanaume usipotia msisitizo kidogo kwa kuogopa sheria ya kubaka, basi wote tutaula wa chuya! Tatizo tukiwa wepesi wa kusaula mnatuita vicheche. kuepuka hilo inabidi kuvungavunga kidogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…