Raphael Chegeni, ulijidai chawa na kutoa kejeli kwa Magufuli naona leo umeyapata majibu!

Unajua nashindwa kumuelewa mama ANATAKA Nini!!

Kwanini anateua halafu mtu bado hajaanza Hata kazi anatengua!hajiamini!?amelogwa!?anasaidiwa kuteua!!?

Poa lakini;-

"Rasimu ya warioba irudi mezani Sasa iwe KATIBA MPYA"!
Anakuwa na nia, anatekeleza. Anaambiwa no! toa huyo haraka. Hata kwenye tv ukibonyeza remote bila kuiangalia button waweza bonyeza channel ya mambo ya kikubwa mbele ya watoto au wakwe.
 
Mleta uzi hajui lolote kwa taarifa yako jana hiyo hiyo Chegeni aliwasilisha barua ya kugomea uteuzi chunguza kwann kagomea uteuzi alafu ndio uje uandike tena
 
Uchifu waliompa kuwa Chifu Nkunda waliutoa wapi? Hakuna Chifu wa kisukuma Anaitwa Nkunda
Kafulila maana yake kwa kisukuma kasufuria kadogo. Baba yake alipangwa kuwa mwalimu kigoma akazaliwa na kukulia huko.
 
kwa taarifa yako huyo hana njaa na huenda amekataa kaz za kupeana pressure
 
Next question..kwa nini una chuki Waswahili?
 
Unajua nashindwa kumuelewa mama ANATAKA Nini!!

Kwanini anateua halafu mtu bado hajaanza Hata kazi anatengua!hajiamini!?amelogwa!?anasaidiwa kuteua!!?

Poa lakini;-

"Rasimu ya warioba irudi mezani Sasa iwe KATIBA MPYA"!
Kwanza katibu npya ikija hata hawa wapuuzi akina chegeni hatuta wazungumzia tena maana itakuwa ni kuiaibisha katiba.
 
Hawa NI washenzi Tu wanaotapatapa waliochoshwa na Amani ya Nchi yetu
 
Majizi ya kura yanazidi kufarakana.
Hahahahaaaa..... yaani naona sasa wengine, kazi imeanza kuwa kuangalia list zote za viongozi, kuanzia ma RC, Wakurugenzi , Makatibu Tawala etc.interms of dini au kabila! Ndo tumefika huko? Kaazi kwelikweli.
 
Sukuma Gang punguzeni kulialia. Nyie kwani mwendazake aliwapa hatimiliki ya siasa za nchi hii? Wacheni upumbavu wenu
 
Nchi hii haingozwi kwa misingi ya ukabila, udini na ukanda, wanaopuliza vuvuzela la ukabila, udini na ukanda wana matatizo ya afya ya akili
 
Dr Benelith mahenge, Hapi nao ni wasukuma, poleni sana, mkabila na mkanda mkubwa magufuli sasa ni marehemu
 
hivi jeshi la wokovu lipo tanzania kwa ajili ya nini na nani anaesimamia na je waislamu wamo humo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…