Raphael Chegeni, ulijidai chawa na kutoa kejeli kwa Magufuli naona leo umeyapata majibu!

Raphael Chegeni, ulijidai chawa na kutoa kejeli kwa Magufuli naona leo umeyapata majibu!

Unajua nashindwa kumuelewa mama ANATAKA Nini!!

Kwanini anateua halafu mtu bado hajaanza Hata kazi anatengua!hajiamini!?amelogwa!?anasaidiwa kuteua!!?

Poa lakini;-

"Rasimu ya warioba irudi mezani Sasa iwe KATIBA MPYA"!
Anakuwa na nia, anatekeleza. Anaambiwa no! toa huyo haraka. Hata kwenye tv ukibonyeza remote bila kuiangalia button waweza bonyeza channel ya mambo ya kikubwa mbele ya watoto au wakwe.
 
Mleta uzi hajui lolote kwa taarifa yako jana hiyo hiyo Chegeni aliwasilisha barua ya kugomea uteuzi chunguza kwann kagomea uteuzi alafu ndio uje uandike tena
 
Uchifu waliompa kuwa Chifu Nkunda waliutoa wapi? Hakuna Chifu wa kisukuma Anaitwa Nkunda
Kafulila maana yake kwa kisukuma kasufuria kadogo. Baba yake alipangwa kuwa mwalimu kigoma akazaliwa na kukulia huko.
 
Mkiambiwa chama kipo kwa mwenye nacho mnajidai kuwa chawa mkumbukwe!
Kwanza mjue kabisa Samia na kundi lake hawana mipango na nyinyi watu wenye nasaba na Magufuli iwe kwa maeneo mtokayo nk!
Chegeni alipopigwa chini kwenye ubunge alijua adui yake ni Magufuli bila kujua kuwa Chegeni CV yako ya utendaji ni mbovu ikiwa ni pamoja na kupenda udokozi!
Tambueni tu hichi chama saizi kiko kwa wenye chama akina Makamba na Mosses!
Chegeni jitahidi kukumbuka kuwa mlimkejeli Magufuli ukijifariji kuwa kwa vile yu mauti mambo yako yataenda unavyotaka bila kujua kuwa watu wa ukanda huo wa nyonyo hususani wenye nasaba ya Magufuli hamtakiwi ila kwa vile mengi wenu ni vichwa maji hamjui! Humuoni hata Kafulila msukukuma wa Kigoma katemwa!,Robert Gabriel msukuma wa shinyanga naye katemwa! Akili mkichwa!
kwa taarifa yako huyo hana njaa na huenda amekataa kaz za kupeana pressure
 
1)Mwanza -Adam Malima mwislam
2)Mara- General Suleiman mwislam
3)Shinyanya-Sofia Mjema mwislam
4)Simiyu- Yahya Nawanda mwislam
5)Tabora-Batrida Buriani mwislam
Hapo kuna la Maana tofauti na mswahili! Kataoa wote wakristo na watu wachapa kazi kaleta waswahili ujinga wa hali ya juu! Anajipanga kwa ajili ya kampeni utendaji zero!
Next question..kwa nini una chuki Waswahili?
 
Unajua nashindwa kumuelewa mama ANATAKA Nini!!

Kwanini anateua halafu mtu bado hajaanza Hata kazi anatengua!hajiamini!?amelogwa!?anasaidiwa kuteua!!?

Poa lakini;-

"Rasimu ya warioba irudi mezani Sasa iwe KATIBA MPYA"!
Kwanza katibu npya ikija hata hawa wapuuzi akina chegeni hatuta wazungumzia tena maana itakuwa ni kuiaibisha katiba.
 
Yani kweli wewe ni boguz tena boguz la kufa mtu umekaa ki udini udini tu yani pitia orodha ya wakuu wa mikoa yote alafu angalia waislam ni wangapi na wakristo ni wangapi ndo utajua wewe ni bogazi bogazi kabisa unanuka udini na ukabila, kama hujui ni kuwa, Idadi ya wakuu wa mikoa wakristo ni wengi kuliko waislam alafu unasema mama ni mdini yani wewe Hujielewi yani Akili za Mataga hizi, Mkiona majina ya kiarabu basi Mate yanawatoka shingo inawakunjamana ila yakifululiza yakiroma Mnauchuna kama sio nyie Acha udini boguz wewe
Hawa NI washenzi Tu wanaotapatapa waliochoshwa na Amani ya Nchi yetu
 
Majizi ya kura yanazidi kufarakana.
Hahahahaaaa..... yaani naona sasa wengine, kazi imeanza kuwa kuangalia list zote za viongozi, kuanzia ma RC, Wakurugenzi , Makatibu Tawala etc.interms of dini au kabila! Ndo tumefika huko? Kaazi kwelikweli.
 
Mkiambiwa chama kipo kwa mwenye nacho mnajidai kuwa chawa mkumbukwe!
Kwanza mjue kabisa Samia na kundi lake hawana mipango na nyinyi watu wenye nasaba na Magufuli iwe kwa maeneo mtokayo nk!
Chegeni alipopigwa chini kwenye ubunge alijua adui yake ni Magufuli bila kujua kuwa Chegeni CV yako ya utendaji ni mbovu ikiwa ni pamoja na kupenda udokozi!
Tambueni tu hichi chama saizi kiko kwa wenye chama akina Makamba na Mosses!
Chegeni jitahidi kukumbuka kuwa mlimkejeli Magufuli ukijifariji kuwa kwa vile yu mauti mambo yako yataenda unavyotaka bila kujua kuwa watu wa ukanda huo wa nyonyo hususani wenye nasaba ya Magufuli hamtakiwi ila kwa vile mengi wenu ni vichwa maji hamjui! Humuoni hata Kafulila msukukuma wa Kigoma katemwa!,Robert Gabriel msukuma wa shinyanga naye katemwa! Akili mkichwa!
Sukuma Gang punguzeni kulialia. Nyie kwani mwendazake aliwapa hatimiliki ya siasa za nchi hii? Wacheni upumbavu wenu
 
Nchi hii haingozwi kwa misingi ya ukabila, udini na ukanda, wanaopuliza vuvuzela la ukabila, udini na ukanda wana matatizo ya afya ya akili
 
Mkiambiwa chama kipo kwa mwenye nacho mnajidai kuwa chawa mkumbukwe!
Kwanza mjue kabisa Samia na kundi lake hawana mipango na nyinyi watu wenye nasaba na Magufuli iwe kwa maeneo mtokayo nk!
Chegeni alipopigwa chini kwenye ubunge alijua adui yake ni Magufuli bila kujua kuwa Chegeni CV yako ya utendaji ni mbovu ikiwa ni pamoja na kupenda udokozi!
Tambueni tu hichi chama saizi kiko kwa wenye chama akina Makamba na Mosses!
Chegeni jitahidi kukumbuka kuwa mlimkejeli Magufuli ukijifariji kuwa kwa vile yu mauti mambo yako yataenda unavyotaka bila kujua kuwa watu wa ukanda huo wa nyonyo hususani wenye nasaba ya Magufuli hamtakiwi ila kwa vile mengi wenu ni vichwa maji hamjui! Humuoni hata Kafulila msukukuma wa Kigoma katemwa!,Robert Gabriel msukuma wa shinyanga naye katemwa! Akili mkichwa!
Dr Benelith mahenge, Hapi nao ni wasukuma, poleni sana, mkabila na mkanda mkubwa magufuli sasa ni marehemu
 
hivi jeshi la wokovu lipo tanzania kwa ajili ya nini na nani anaesimamia na je waislamu wamo humo?
 
Back
Top Bottom