Rappa Rick Ross ampost tena Diamond Platnumz kwenye page yake ya Instagram

mtotomtamuu

JF-Expert Member
Joined
Dec 4, 2016
Posts
602
Reaction score
1,459
Baada ya Diamond platnumz kupiga mkwanja zaidi ya Billioni moja kutangaza kinywaji cha Blairrre


 
Kwa yale mapokezi ya Mozambique nilihisi anapokelewa rais kutoka marekani mond endelea kutusua team ushuz karaga baho
 
Maskini kuna watu watakuwa wanataka kufa baada ya hii taarifa [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
mond ana akl ya maisha. ila awe anafanya show ndogo ndogo kama fiesta maana mashabk hatumuoni. asidharau mashabk tuna kiu na yy
 
Usipo sifia mafanikio ya diamond we mnafik tu kizur tukisifie mambo ya team yann mtakufa na presha nyie wapinzan[emoji23][emoji23]
Exactly wanabaki kumshindanisha kiba na platnumz wakati ni watu wasiofanana na ndio maana nliwahi kumshauri Diamond aachane na bifu alilojiwekea na alikiba cz anazidi kumpandisha
 
mond ana akl ya maisha. ila awe anafanya show ndogo ndogo kama fiesta maana mashabk hatumuoni. asidharau mashabk tuna kiu na yy
Show za fiesta huwa anapiga dar tu na mwanza ikitokea cz ndio kwenye pesa ndefu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…