Rapper 50 cent ataja tiba ya Corona

its fiddy cent lloyd banks young buck and joe hahahaaaaa 🎀🎀🎀🎀🎀
mnyamwezi hajaacha matusi tu? one of my fav rappers
 
huyu jamaa Floyd na yule Polisi aliyemuua waliwahi kuwa mabaunsa katika club kwa wakati mmoja huko Marekani na watu wanaowafahamu wanasema yule Polisi alifanya kazi hapo kwa miaka zaidi ya 17 hawakujua kama ni Polisi,kingine yule Polisi mchina aliyekuwa anawakataza watu wasichukue video shot ni SHEMEJI yake na yule Polisi muuaji I can see something there...
 
Huyu ndugu Senti hamsini ndio anaboronga kabisa, sasa maandamano yatakuwaje dawa ya ugonjwa!
Hapo ndo wazungu wanamsemo unasema Read in between the lines
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…