Yaani huyo jamaa ni mibangi kwa kwenda mbele Hamna kitu pale ptuuuu!Kweli, kila kitabu na enzi zake,.."todays rappers" ngoja nimchek hiyo future you tube anafananaje.....
I always like the way you express actual issues the way they are bila kumung'unya.Kachitiwa Hillary Clinton seuze Scottie?
Kachitiwa Mandela na Winnie hadi talaka juu. Nini Scottie?
Hata Princess Diana alikuwa anachitiwa na huenda naye alikuwa anachiti.
Na wote hao wana familia.
Kuchepuka ni fact of life. Kupo kila siku.
Bossman we hujawahi kula mke wa mtu? Kama umeoa, mkeo hajawahi kuliwa?
Haya ni mambo ya kawaida mno.
Damn!!!Mama wenyewe ndio huyu. Hizi tabu tupu hizi......
Hizo party zipo ambapo cellphone mnaacha mlangoni ili watu waweze ku socialize vizuri.Hiyo party ya no cell phone ndo ikoje?
aligegedwa tu kama groupie? au ndo huyu Future alikuwa nae?
Hello!! Miss, its your bway tyga right here.it seems like u wanna be wit me and I'm ready for dat..let's go to pm tuyajenge.mwaaahh!!Obsession
Mi mwenyewe haijawahi kupita wiki mbili sijamueka ata profile picha WhatsApp. . .ni basi tu kuja kumuona ni 'future impossible tense'
Ila ata ngekua mie wallah kwa future ama tyga ama kid ink ndoa ningevunja asee
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Hello!! Miss, its your bway tyga right here.it seems like u wanna be wit me and I'm ready for dat..let's go to pm tuyajenge.mwaaahh!!
Why sayin' dat ? Don't let me down joanah trust me it's me tyga.. let me treat u like a queen.[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Tyga hanaga maneno mengi hivi
Bado sijafollow,Kwenye threesome ulifuata your heart?
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]Nilikua sijakujua kumbe wewe
hizo lips si mchezo na pm umefunga dah