Rapper Juice WRLD 999 hunipa mood

Rapper Juice WRLD 999 hunipa mood

new level

JF-Expert Member
Joined
Apr 21, 2021
Posts
274
Reaction score
583
Habari zenu wakuu,

Nimekua nikifwatilia muziki zaid ya miaka 20 ila toka nianze kusikiliza nyimbo za huyu jamaa juice WRLD nikwamba nimekua addicted na nyimbo zake nina nyimbo zake zaid ya 1000 released na unreleased

Nyimbo zake hunipa furaa sana na pia atanikiwa kwenye depression nikiingia kwenye playlist tu hua najiskia vizuri sana .. hua hazipiti siku 3 bila ku download ngoma yake yoyote I think nitafika adi kwenye nyimbo 2000 kama wengine

kunawimbo wake unaitwa BEEN MYSELF ni unreleased nikifa nais inatakiwa wau play ili kuakikisha kweli nimekufa au lah. maana nikiu play tu kichwa changu hukaa sawa.

R I P juice WRLD 999 forever [emoji885]

IMG_6419.png
 
Habari zenu wakuu
Nimekua nikifwatilia muziki zaid ya miaka 20
Ila toka nianze kusikiliza nyimbo za huyu jamaa juice WRLD nikwamba nimekua addicted na nyimbo zake nina nyimbo zake zaid ya 1000 released na unreleased

Nyimbo zake hunipa furaa sana na pia atanikiwa kwenye depression nikiingia kwenye playlist tu hua najiskia vizuri sana .. hua hazipiti siku 3 bila ku download ngoma yake yoyote I think nitafika adi kwenye nyimbo 2000 kama wengine

kunawimbo wake unaitwa BEEN MYSELF ni unreleased nikifa nais inatakiwa wau play ili kuakikisha kweli nimekufa au lah. maana nikiu play tu kichwa changu hukaa sawa.

R I P juice WRLD 999 forever [emoji885]View attachment 2712721
Wekeni hapa audio hata audio 2 tuenjoi 😎🙄
 
Simu yangu ilipotea na nyimbo za huyu rapper, namkubali sana

Luicd dreams naikubali hii ngoma
 
Wekeni hapa audio hata audio 2 tuenjoi [emoji41][emoji849]

Yani ukianza kusikiliza nyimbo zake ngoma za wasanii wengine utaziona kama taarifa za habari yani unaaikiliza maramoja tu unasepa
 
Bruh [emoji23] wew kama mimi kabisa I thought niko mwenyew yan I can’t go a day without his music
Nishawahi kuja na uzi wake humu

 
Nishawahi kuja na uzi wake humu


Dah umetisha sana uyu mtu toka 2020 mziki wake umekua kama ngao kwangu nikiona ata mtu kavaa t shirt yenye picha yake hua nasimama natikisa kichwa nasema 999
 
Lean with me - like goma aisee🔥🔥

All girls are same🔥🔥
 
Back
Top Bottom