nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,779
Khalid The great kampaisha Konki Liquid. Ina maanisha nguvu ya mitandao ni kubwa ila kiukweli tumuonee huruma tu konki sababu mtu mwenye roho mbaya mwenye back up ya mtu mkubwa kamchukia.
Usishangae kusikia kavamiwa na majambazi, kagongwa na gari, kakamatwa na madawa ya kulevya, kapewa kesi ya uhujumu uchumi na kadhalika.
Inakera sana ila ndiyo Tanzania mpya hiyo. Awamu ya tano imejaa watawala wenye roho mbaya sana wanaofurahia migawanyiko, kutisha watu, kuteka, kuua, wanakera sana
Konki liquidd EVERBADI SEYI YEEEEEE, ISOOOKEEEEEEEY
Usishangae kusikia kavamiwa na majambazi, kagongwa na gari, kakamatwa na madawa ya kulevya, kapewa kesi ya uhujumu uchumi na kadhalika.
Inakera sana ila ndiyo Tanzania mpya hiyo. Awamu ya tano imejaa watawala wenye roho mbaya sana wanaofurahia migawanyiko, kutisha watu, kuteka, kuua, wanakera sana
Konki liquidd EVERBADI SEYI YEEEEEE, ISOOOKEEEEEEEY