Rapper Stamina kazaliwa 1989 ila kacheza soka secondary na Dickson Job

Rapper Stamina kazaliwa 1989 ila kacheza soka secondary na Dickson Job

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Dah namsikiliza kijana Stamina Sharobwenzi sasa hivi clouds fm akiwa anatambulisha team yake ya ndondo cup iitwayo stamina fc anajinasibu kwamba kakipiga sana against Dickson job katika mashindano ya shule za sekondari sasa napata ukakasi mkubwa sana

Huyu jamaa ana miaka 33 ila Job nafikiri tunaambiwa ana 24 ...dah aiseeee au Stamina alikuwa kijeba huko shule
 
Dah namsikiliza kijana Stamina Sharobwenzi sasa hivi clouds fm akiwa anatambulisha team yake ya ndondo cup iitwayo stamina fc anajinasibu kwamba kakipiga sana against Dickson job katika mashindano ya shule za sekondari sasa napata ukakasi mkubwa sana

Huyu jamaa ana miaka 33 ila Job nafikiri tunaambiwa ana 24 ...dah aiseeee au Stamina alikuwa kijeba huko shule
Job kadanganya umri hao madogo ni agemate wa mdogo wangu
 
Dah namsikiliza kijana Stamina Sharobwenzi sasa hivi clouds fm akiwa anatambulisha team yake ya ndondo cup iitwayo stamina fc anajinasibu kwamba kakipiga sana against Dickson job katika mashindano ya shule za sekondari sasa napata ukakasi mkubwa sana

Huyu jamaa ana miaka 33 ila Job nafikiri tunaambiwa ana 24 ...dah aiseeee au Stamina alikuwa kijeba huko shule
Kijeba hapo ni Job... Hata Kwa Macho anaonekana..!
 
Kijeba hapo ni Job... Hata Kwa Macho anaonekana..!
Mbona hata mimi nina 22 unabisha?
FRDDzymX0AASLx1.jpeg
 
Nilijisemea hivyo ila job kacheza under 17 mwaka 2917 africa kule gabon hivyo ana 22 stamina 33 tofauti ya 11 years na stamina kasema wamecheza naye mara nyingi tena aka mention hadi kibwana labda watu wa morogoro watatusaidia
Morogoro kuna bonanza linaandaliwaga linahusisha shule za Secondary na za mtaani sijui kwa sasa ila kabla ya miaka ya 2015 lilikuwa linafanyika sana pale kihonda secondary,kuna mwaka nadhani 2014 au 15 Stamina alichezea timu ya mtaani inaitwa Kihonda Academy na kuna baadhi ya mechi walicheza na timu za shule za secondary katika bonanza hilo..itakuwa wamekutana kwa style hiyo inaelekea Job alikuwa bado shule wakati huo, mimi nilikuwa mmoja ya wadhamini wa mashindano hayo kabla ya baadae kujitoa
 
Mimi hapa mtaani nacheza mpira na watoto hadi wa form one na nimewazidi miaka zaidi ya 15.
Mashindano ya CAF/FIFA wachezaji hupimwa umri wao na Kuna mwaka TZ ilipata nafasi ya kufuzu baada ya mchezani wa Congo kugundulika ni kijeba.
Stamina na Job kucheza pamoja haimaanishi ni umri sawa.
Ndo maana mwaka juzi wakati Kagere ana miaka 35 alicheza na Rashid Juma ambaye kamzidi more than 13 yearz
 
Kama alikuwa sekondari tuseme form one alikuwa na miaka .14 au 15 alienda under 17 akiwa na umri wa zaidi ya miaka 20
 
ndugu yangu unaweza ukawa unajaribu kufanya udadisi wa kawaida tu wa umri wa job...lkn wenyewe wataingiza masuala ya smba vs yanga, kitakachofuata ni kuporomoshewa matusi ya nguoni...
 
Sasa kama John Bocco mpaka leo ana umri wa miaka 29! Nongwa iko wapi kwa huyo Dickson Job kiwa na miaka 24? Juma Kaseja mwenyewe mpaka leo umri umesimama kwenye 30!

Shida iko wapi?
hao wawili nao walicheza na stamina sharobwenzi? nimeambiwa kwamba Job ana 21.5 bado kinda sana tegemeo la taifa kwa miaka 14 ijayo
 
hivi bado wema sepetu na kajala wametimiza umri wa miaka 28 nasikia
 
Wachezaji wengi bongo wamedanganya umri

Sio Bongo tu ni Afrika nzima Wachezaji wanadanganya umri isipokuwa wale waliolelewa kwenye Academy za Ulaya tu.

Mimi Nina 36yars na Mtu tuliyelelewa pamoja ambaye akiwa amenizidi umri takriban 2years mpaka leo anacheza Mpira na umri chini ya 27years.

Mtu kama Mbwana Samatta hapungui Miaka 37.
 
Sasa kama John Bocco mpaka leo ana umri wa miaka 29! Nongwa iko wapi kwa huyo Dickson Job kiwa na miaka 24? Juma Kaseja mwenyewe mpaka leo umri umesimama kwenye 30!

Shida iko wapi?

Tatizo limo kichwani mwako! Hebu Tikisa Hilo Bichwa lako uhakikishe kama kweli Mungu kakuwekea akili.
 
Tatizo limo kichwani mwako! Hebu Tikisa Hilo Bichwa lako uhakikishe kama kweli Mungu kakuwekea akili.
Hopeless! Kupitia hiyo picha yako tu kwenye avatar, haihitaji akili nyingi kugundua wewe ni nani.
 
Back
Top Bottom