spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 7,557
- 20,477
Nmemaliza na D job ni mkubwa ila sio kiivo kuhusu stamina na kibwana ni kweli wamesoma shule moja ila walitofautiana madarasa kibwana alijiunga shulen kwetu mwaka ulifuata akiwa form 2 sisi tukiwa tushamaliza form 4
Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app
Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app