spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 7,557
- 20,477
Hahahahaaa hapa kwa Mbwana Samatta nifikiri ni mimi tu nimepotea njia. Mwaka 2010 nakumbuka nilikuwa na mchezaji wa Namungo anaitwa Reliants tunamuangalia Samatta ktk Tv akicheza mechi ya Simba sambamba na Okwi sisi tulikuwa wadogo wadogo kidogo ila leo hii sisi ni wakubwa kwake.Sio Bongo tu ni Afrika nzima Wachezaji wanadanganya umri isipokuwa wale waliolelewa kwenye Academy za Ulaya tu.
Mimi Nina 36yars na Mtu tuliyelelewa pamoja ambaye akiwa amenizidi umri takriban 2years mpaka leo anacheza Mpira na umri chini ya 27years.
Mtu kama Mbwana Samatta hapungui Miaka 37.
lipo wazi hasa wa kiafrika sio tz pekee... tuna wafahamu wengi sanaaaa...Wachezaji wengi bongo wamedanganya umri
Job kadanganya umri hao madogo ni agemate wa mdogo wangu
shule gani? mwaka gani? alikuwa na miaka mingapi? tukienda mitaani kwao, shuleni aliposoma, majilani na hata kwa msajili wa vizazi na vifo kwa hati ya kwanza kutolewa kwa jina lake... tuta ujua ukweli... na ndio kosa la jinai linapo anzia, sema serikali yetu ni nzuri kwa raia wake, la sivyo wna michezo wengi wangenyea videbeNmemaliza na D job ni mkubwa ila sio kiivo kuhusu stamina na kibwana ni kweli wamesoma shule moja ila walitofautiana madarasa kibwana alijiunga shulen kwetu mwaka ulifuata akiwa form 2 sisi tukiwa tushamaliza form 4
Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app
Kwani umri wa mtu ni mali ya serikali?shule gani? mwaka gani? alikuwa na miaka mingapi? tukienda mitaani kwao, shuleni aliposoma, majilani na hata kwa msajili wa vizazi na vifo kwa hati ya kwanza kutolewa kwa jina lake... tuta ujua ukweli... na ndio kosa la jinai linapo anzia, sema serikali yetu ni nzuri kwa raia wake, la sivyo wna michezo wengi wangenyea videbe
kugushi ni kosa kisheria...Kwani umri wa mtu ni mali ya serikali?
Kama wa staminaMdogo wako ana umri gani?
Huyu nae[emoji23]Haya tufanye job ana miaka 33 na onyango ana 27
Hahahahaaa hapa kwa Mbwana Samatta nifikiri ni mimi tu nimepotea njia. Mwaka 2010 nakumbuka nilikuwa na mchezaji wa Namungo anaitwa Reliants tunamuangalia Samatta ktk Tv akicheza mechi ya Simba sambamba na Okwi sisi tulikuwa wadogo wadogo kidogo ila leo hii sisi ni wakubwa kwake.
Jaman si ndondo au?....watoto wa ilala au vingunguti leo wakikwambia said morad nimecheza nae ball usibishe ni Kaka wa mtaani tu kupasiana kupo.Nilijisemea hivyo ila job kacheza under 17 mwaka 2917 africa kule gabon hivyo ana 22 stamina 33 tofauti ya 11 years na stamina kasema wamecheza naye mara nyingi tena aka mention hadi kibwana labda watu wa morogoro watatusaidia
Tumia umri wa MOKuanzia sasa umri wangu nausimamisha mpaka nikianza kuzeeka ndo nauachia
Mbwana Samatta kamaliza form 4 mwaka 2008.Sio Bongo tu ni Afrika nzima Wachezaji wanadanganya umri isipokuwa wale waliolelewa kwenye Academy za Ulaya tu.
Mimi Nina 36yars na Mtu tuliyelelewa pamoja ambaye akiwa amenizidi umri takriban 2years mpaka leo anacheza Mpira na umri chini ya 27years.
Mtu kama Mbwana Samatta hapungui Miaka 37.
Ufafanuzi sahihi kabisa na haya mabonanza yapo mfano hapa shuleni kwangu Kuna mtoto wa form anachezea timu ya mtaani na wakubwa kabisa waliomzidi umri mpira huwa una exceptional ya umri ndio maana Ansu Fati anacheza na Pique na Pique atasema amekipiga sana na Ansu FatiMorogoro kuna bonanza linaandaliwaga linahusisha shule za Secondary na za mtaani sijui kwa sasa ila kabla ya miaka ya 2015 lilikuwa linafanyika sana pale kihonda secondary,kuna mwaka nadhani 2014 au 15 Stamina alichezea timu ya mtaani inaitwa Kihonda Academy na kuna baadhi ya mechi walicheza na timu za shule za secondary katika bonanza hilo..itakuwa wamekutana kwa style hiyo inaelekea Job alikuwa bado shule wakati huo, mimi nilikuwa mmoja ya wadhamini wa mashindano hayo kabla ya baadae kujitoa
Usisahau na wa ONYANGO ubaki 28πKuanzia sasa umri wangu nausimamisha mpaka nikianza kuzeeka ndo nauachia
anasema walikuwa wanasoma wote secondary schools huyo Pique na Ansu fati walicheza wote secondary au barca? tukubaliane kwamba stamina alikuwa kijeba kilichochelewa kuanza shuleUfafanuzi sahihi kabisa na haya mabonanza yapo mfano hapa shuleni kwangu Kuna mtoto wa form anachezea timu ya mtaani na wakubwa kabisa waliomzidi umri mpira huwa una exceptional ya umri ndio maana Ansu Fati anacheza na Pique na Pique atasema amekipiga sana na Ansu Fati
Mbona unajichekesha, vipi mwenzetu au ushoga ndo unakuingia.Usisahau na wa ONYANGO ubaki 28π