Rapper 'Take off' wa kundi la maruufu la Hiphop 'Migos' afariki kwa kupigwa risasi

Rapper 'Take off' wa kundi la maruufu la Hiphop 'Migos' afariki kwa kupigwa risasi

I walked down into the bando
The music i heard blew my mind, Takeoff,the quiet storm,he is a man of few words but has the biggest voice
-Kevin coach k lee
Coo, quality control
 

Attachments

  • Migosgforlife.mp4
    3 MB
Hawa watoto wa game la hip hop wa miaka ya karibuni madawa ya kulevya yanawaharibu sana. Wanauana sana siku hizi. Contents za ovyo lakini unakuta wimbo una views 200M youtube

Ndo maana mimi mpaka leo navutiwa na game la hip hop la mpaka miaka ya 2010's mwanzoni, hawa wa siku hizi siilewi rap style yao wala contents zao
Teknolojia ya music mtandao ni ya juzi tu Ndugu. Imagine YouTube ni ya 2005 tu hapo. Hao akina 2Pac na vizazi vya kaka zao akina Run DMC tungewaonaje.

Imagine teknolojia hii ingekuwepo 1984 wakati Michael Jackson anadondosha Thriller, angekuwa na views kiasi gani mpaka mwaka huu!? Si ingekuwa kufuru!
 
Hawa watoto wa game la hip hop wa miaka ya karibuni madawa ya kulevya yanawaharibu sana. Wanauana sana siku hizi. Contents za ovyo lakini unakuta wimbo una views 200M youtube

Ndo maana mimi mpaka leo navutiwa na game la hip hop la mpaka miaka ya 2010's mwanzoni, hawa wa siku hizi siilewi rap style yao wala contents zao
Sahihi kabisa mkuu,mi mwenyewe Ni mtu wa hip-hop old skuli, vijana wa siku hizi wanaimba ujinga mtupu.
 
[emoji1787][emoji1787]

Nakubaliana na wewe lakini miaka ya karibuni imezidi madogo wanatwangana sana risasi
Lakini Tony Yayo wa G unit alitolea ufafanuzi kuwa sahv social media inakuza watu wengi wanashuhudia lakini shooting imeanza kitambo. Jpo pia sahv hizi Codein na Lean zimechangia kuharibu sana vijana wengi.

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Lakini Tony Yayo wa G unit alitolea ufafanuzi kuwa sahv social media inakuza watu wengi wanashuhudia lakini shooting imeanza kitambo. Jpo pia sahv hizi Codein na Lean zimechangia kuharibu sana vijana wengi.

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Kwa kifupi ukiangalia takwimu za mass shooting na gun violence nchini Marekani zimekuwa zikiongezeka sana kadiri miaka inavyoenda.

Hata takwimu zinaonyesha mauaji ya hao wasanii nayo yameongezeka miaka ya karibuni tofauti na zamani
 
Hawa watoto wa game la hip hop wa miaka ya karibuni madawa ya kulevya yanawaharibu sana. Wanauana sana siku hizi. Contents za ovyo lakini unakuta wimbo una views 200M youtube

Ndo maana mimi mpaka leo navutiwa na game la hip hop la mpaka miaka ya 2010's mwanzoni, hawa wa siku hizi siilewi rap style yao wala contents zao
Hapa tupo pamoja nyimbo hizi za hawa watoto wa siku hizi sisikilizi kabisa
 
Duuh mkuu umenikumbusha kuna video kina Snoop Dogg waliwahi kuliponda hilo group na rap style yao daah

Kiukweli rap style ya wakongwe wa enzi hizo ilikuwa poa sana sema si unajua tena vijana wa siku hizi

Anyway apumzike kwa amani niliwahi kuwa shabiki yao enzi hizo ndiyo wanatoka na wimbo wao wa versace ila walivyoendelea nikawa siwaelewi
Hakuliponda hilo kundi bali aliponda rap style ya sasa kiujumla.
 
Back
Top Bottom