Mafian cartel
JF-Expert Member
- Nov 19, 2021
- 3,876
- 7,118
Na sisi tujiandae hatujui siku wala saaOffset na yeye[emoji119]
Yani Takeoff bn amekufa kifo cha kusikitisha na kinyama sana
Rest in Paradise Takeoff
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na sisi tujiandae hatujui siku wala saaOffset na yeye[emoji119]
Yani Takeoff bn amekufa kifo cha kusikitisha na kinyama sana
Rest in Paradise Takeoff
Kweli kabisaNa sisi tujiandae hatujui siku wala saa
KabisaWeka picha mkuu ili na sisi tunaoishi huku Vijijini ndani ndani tuwajue.
Teknolojia ya music mtandao ni ya juzi tu Ndugu. Imagine YouTube ni ya 2005 tu hapo. Hao akina 2Pac na vizazi vya kaka zao akina Run DMC tungewaonaje.Hawa watoto wa game la hip hop wa miaka ya karibuni madawa ya kulevya yanawaharibu sana. Wanauana sana siku hizi. Contents za ovyo lakini unakuta wimbo una views 200M youtube
Ndo maana mimi mpaka leo navutiwa na game la hip hop la mpaka miaka ya 2010's mwanzoni, hawa wa siku hizi siilewi rap style yao wala contents zao
Memphis Rapper Young Dolph mwishoni mwa 2021.Tujikumbushe kidogo waliochapwa shaba kabla ya takeoff
Pop smoke
Xxxtentacion
Pnbrock
Nipsley Hussley
Nk nk
Sahihi kabisa mkuu,mi mwenyewe Ni mtu wa hip-hop old skuli, vijana wa siku hizi wanaimba ujinga mtupu.Hawa watoto wa game la hip hop wa miaka ya karibuni madawa ya kulevya yanawaharibu sana. Wanauana sana siku hizi. Contents za ovyo lakini unakuta wimbo una views 200M youtube
Ndo maana mimi mpaka leo navutiwa na game la hip hop la mpaka miaka ya 2010's mwanzoni, hawa wa siku hizi siilewi rap style yao wala contents zao
Lakini Tony Yayo wa G unit alitolea ufafanuzi kuwa sahv social media inakuza watu wengi wanashuhudia lakini shooting imeanza kitambo. Jpo pia sahv hizi Codein na Lean zimechangia kuharibu sana vijana wengi.[emoji1787][emoji1787]
Nakubaliana na wewe lakini miaka ya karibuni imezidi madogo wanatwangana sana risasi
Kwa kifupi ukiangalia takwimu za mass shooting na gun violence nchini Marekani zimekuwa zikiongezeka sana kadiri miaka inavyoenda.Lakini Tony Yayo wa G unit alitolea ufafanuzi kuwa sahv social media inakuza watu wengi wanashuhudia lakini shooting imeanza kitambo. Jpo pia sahv hizi Codein na Lean zimechangia kuharibu sana vijana wengi.
Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Hapa tupo pamoja nyimbo hizi za hawa watoto wa siku hizi sisikilizi kabisaHawa watoto wa game la hip hop wa miaka ya karibuni madawa ya kulevya yanawaharibu sana. Wanauana sana siku hizi. Contents za ovyo lakini unakuta wimbo una views 200M youtube
Ndo maana mimi mpaka leo navutiwa na game la hip hop la mpaka miaka ya 2010's mwanzoni, hawa wa siku hizi siilewi rap style yao wala contents zao
Contents za siku hizi:Sahihi kabisa mkuu,mi mwenyewe Ni mtu wa hip-hop old skuli, vijana wa siku hizi wanaimba ujinga mtupu.
Hakuliponda hilo kundi bali aliponda rap style ya sasa kiujumla.Duuh mkuu umenikumbusha kuna video kina Snoop Dogg waliwahi kuliponda hilo group na rap style yao daah
Kiukweli rap style ya wakongwe wa enzi hizo ilikuwa poa sana sema si unajua tena vijana wa siku hizi
Anyway apumzike kwa amani niliwahi kuwa shabiki yao enzi hizo ndiyo wanatoka na wimbo wao wa versace ila walivyoendelea nikawa siwaelewi