Alafu hizi record label, hasa “Empire” zinatoa kafara wasanii wao...Young Dolph na huyo Juice Wrld walikuwa ni Cousins.
kuna surveillance zina trend kuonesha wauajiYoung Dolph na huyo Juice Wrld walikuwa ni Cousins.
Gari yao ishapatikana, soon nao watakamatwa...senseless!
Inasemekana hyo gari waliyoitumia kwenye mauaji wahuni waliiba sehemu , na wakaitelekeza mahali few hours after fatal shootingGari yao ishapatikana, soon nao watakamatwa...senseless!
Mkuu inaelekea unamuelewa sana Joyner LucasKatika generation ya trap, wasanii waliokufa nikasikitika aisee ilikua ni Jarad higgins (Juice WRLD)
Pole kipenziAlinishawishi kufanya biashara instead ya kuajiriwa, hata kwenye working out napenda nyimbo zake kama motivation....a real stand up guy![emoji174] #itsdolphhhh
Mara nyingi ndivyo hufanya hawa wahalifu. Hawatumii gari zao. Inaumiza sana. Sijui mchizi aliwakosea nini!? Maana ni wazi walikuwa wamedhamiria kumuua.Inasemekana hyo gari waliyoitumia kwenye mauaji wahuni waliiba sehemu , na wakaitelekeza mahali few hours after fatal shooting
Namkubali jamaa ni bonge la story teller hata hapa tz msanii mwenye flow kama zake namuona ni dizastaMkuu inaelekea unamuelewa sana Joyner Lucas
Kwa kukisia watakua walitumwa na Yo gottiMara nyingi ndivyo hufanya hawa wahalifu. Hawatumii gari zao. Inaumiza sana. Sijui mchizi aliwakosea nini!? Maana ni wazi walikuwa wamedhamiria kumuua.