Rapper Young Dolph auawa

JAYJAY

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2008
Posts
8,191
Reaction score
8,490
Hii habari ndiyo kwanza nimeiona. Binafsi ni mmoja wa mashabiki wake .

Hii habari imeni_pain mno. Hapo kabla alisha_survive matukio mawili ya kupigwa risasi. Hili tukio limetokea jumatano mchana huko Memphis. Alikuwa mtu anayejitolea sana kwa jamii yake huko Memphis. Mwenyezi Amrehemu

 
Inaelekea Wasanii wanaojitolea (African Americans) kwa jamii zao jambo hilo huwa kama vile hailiwapendezi baadhi ya watu/makundi, hivyo kupelekea kuwindwa ama kuuwawa. NIPSIE HUSSLE nae aliuwawa kwa mazingira kama haya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…