Rapper Young Dolph auawa

Rapper Young Dolph auawa

Namkubali jamaa ni bonge la story teller hata hapa tz msanii mwenye flow kama zake namuona ni dizasta

Ukisikiliza im not racist ya joyner afu ukisikiliza na mascular feminist ya dizasta utaona ni style moja ya msanii ku delivery content kwa ku switch side
Kweli, disasta Kuna ile ngoma anaelezea alivoingia job mizinguo halafu anarudi geto anaskia sauti za wife akimegwa
 
Ndo nani huyu kwenye Serikali hii ya huyu Mama?
Ngoja niwahi foleni ya maji kaanza, narudi
 
Kifo cha huyu rapper kimeleta taswira mpya ya mitazamo ya baadhi ya wadau

Hapa jaden anadai kua siku zote wahanga kwenye haya matukio ni blacks. Kwamba wazungu ambao wako na silaha muda wote full secured wameishia kutekwa nyara lakini kwa black ambao hawana silaha hali ni tofauti wamekua wakiuliwa

c.syresmith-20211121-0001.jpg


=======
c.syresmith-20211121-0002.jpg

Hii ya mtoto wa miaka 12 kuuliwa inasikitisha na kukatisha tamaa kabisa kuwa na ndoto za kuishi US
c.syresmith-20211121-0003.jpg


c.syresmith-20211121-0004.jpg
 
Kifo cha huyu rapper kimeleta taswira mpya ya mitazamo ya baadhi ya wadau

Hapa jaden anadai kua siku zote wahanga kwenye haya matukio ni blacks. Kwamba wazungu ambao wako na silaha muda wote full secured wameishia kutekwa nyara lakini kwa black ambao hawana silaha hali ni tofauti wamekua wakiuliwa

View attachment 2018684

=======
View attachment 2018686
Hii ya mtoto wa miaka 12 kuuliwa inasikitisha na kukatisha tamaa kabisa kuwa na ndoto za kuishi US
View attachment 2018688

View attachment 2018689
Mi naamini kuna kitu wazungu wanaogopa kuhusu weusi ndio maana hawaishi kuonyesha chuki na hasira dhidi yetu! Kuna siku tuta restore kile tulichokipoteza.
 
Hii habari ndiyo kwanza nimeiona. Binafsi ni mmoja wa mashabiki wake .

Hii habari imeni_pain mno. Hapo kabla alisha_survive matukio mawili ya kupigwa risasi. Hili tukio limetokea jumatano usiku huko Memphis. Alikuwa mtu anayejitolea sana kwa jamii yake huko Memphis. Mwenyezi Amrehemu

View attachment 2017744
JF ya siku hizi sio kama zamani ipo very slow sana na sisi ambao tunapata hizi habari za wasanii wa mbele mapema pia ni wavivu wa kufungua thread basi tabu tupu...Young Dolph kifo chake kiliniuma sana ni mmoja ya inspiration ya marapa wa Memphis kama kina Moneybaggyo,Yo Gotti,Blocboy Jb na Cousin wake Key Glock ingawa sio maarufu sana kwa baadhi ya watu ila kama ni mfuatiliaji wa nyimbo za mbele kuna hit song ya trap inaitwa cut it ameshirikiana na O.T Genasis alifanya vyema sana mule Mungu ailaze roho yake mahala pema peponi
 
Inasemekana hyo gari waliyoitumia kwenye mauaji wahuni waliiba sehemu , na wakaitelekeza mahali few hours after fatal shooting
Bado wana msala na finger prints walizoziacha kwenye gari lazima wapatikane hawa
 
Huyu jamaa alipo hit tu na kupiga bingo
Alitakiwa kuhama kwenye mji aliozaliwa na kuishi
Kuna interview moja imepita kama mwaka alifanya msanii boosie aliongea vitu positive
Na venue ukweli sana kuhusu maisha ya wasani
Wa rap

Ova
 
JF ya siku hizi sio kama zamani ipo very slow sana na sisi ambao tunapata hizi habari za wasanii wa mbele mapema pia ni wavivu wa kufungua thread basi tabu tupu...Young Dolph kifo chake kiliniuma sana ni mmoja ya inspiration ya marapa wa Memphis kama kina Moneybaggyo,Yo Gotti,Blocboy Jb na Cousin wake Key Glock ingawa sio maarufu sana kwa baadhi ya watu ila kama ni mfuatiliaji wa nyimbo za mbele kuna hit song ya trap inaitwa cut it ameshirikiana na O.T Genasis alifanya vyema sana mule Mungu ailaze roho yake mahala pema peponi
Binafsi jana jioni hii habari
ndio nimeiona wakati tukio ni la jumatano. Actually nimechelewa kuiona.
 
Binafsi jana jioni hii habari
ndio nimeiona wakati tukio ni la jumatano. Actually nimechelewa kuiona.
Dah kweli aisee mimi nilijua masaa machache tu baada ya tukio kutokea lakini ndo hivyo mvivu kuanzisha thread ukizingayia watu humu wanapenda story za kina Juma Lokole ikabidi niendelee na mambo yangu bila kujua kwamba kuna wapenzi wa celebrities wa USA
 
Young gereration waliotutoka

Xxx tentasion
Lil snupe

Huyu dogo lil snupe alikua anafanya sana freestyle nlimkubali sana adse
Umenikumbusha lines za joyner Kwa hao marehemu

Give us Biggie, give us Pun, give us triple X
Take that nigga Trump with you, that's a bigger threat

R.I.P. Lil Snupe, give that boy his life back
Take Eric Holder, give us Eric Wright back
 
Ujue Memphis kuna matukio ya uhalifu sana ni mji wa pili kwa uhalifu Marekani baada ya Detroit wasanii wengi wa Memphis ni products ya haya magang hasa bloods na crips
hayo magenge si yako huko california,au!?
 
Kifo cha huyu rapper kimeleta taswira mpya ya mitazamo ya baadhi ya wadau

Hapa jaden anadai kua siku zote wahanga kwenye haya matukio ni blacks. Kwamba wazungu ambao wako na silaha muda wote full secured wameishia kutekwa nyara lakini kwa black ambao hawana silaha hali ni tofauti wamekua wakiuliwa

View attachment 2018684

=======
View attachment 2018686
Hii ya mtoto wa miaka 12 kuuliwa inasikitisha na kukatisha tamaa kabisa kuwa na ndoto za kuishi US
View attachment 2018688

View attachment 2018689
Hapa ndio utaamini msemo wa TMK Wanaume "nyumbani ni nyumbani hata kama vichakani"
 
Back
Top Bottom