Baljurashi
JF-Expert Member
- Dec 30, 2017
- 1,628
- 2,720
27 Club ni list ya wasanii ambao walifariki wakiwa na umri wa miaka 27.Alitunga wimbo kuwaimbia wasanii waliokufa wakiwa bado wana umri mdogo "What's the 27 Club? We ain't making it past 21"
27 club ni list ya wasanii waliokufa wakiwa bado hawajafika umri wa miaka 27
Mkuu unakataaa bure, wengine sie ni fàm kabisaMocker hana ndevu lejea pic yako ya kwanza
Ujinga waoHawa wasanii walivuma kwa mda mchache sijui ndio Masonic?
Hivi huyo si alukufa kwa ovadose ya madawa auHivi juice WRLD nae kavuta?
dah madogo wanapotea sana af unakuta wote watoto wa 1998-2003Hivi huyo si alukufa kwa ovadose ya madawa au
Sema alikuwa talented sana
Ova
Wadogo sanadah madogo wanapotea sana af unakuta wote watoto wa 1998-2003
Kuna dogo mmja naye yuko vzr sanadah madogo wanapotea sana af unakuta wote watoto wa 1998-2003
Sijamjua huyo, namkubaligi roddy ricchKuna dogo mmja naye yuko vzr sana
Anaitwa polo g naye talented sana
Ngoma zake zote kali
Ova
Youtube mzee utaniambiaSijamjua huyo, namkubaligi roddy ricch
Polo G, yupo vizuri tafuta tape yake ya "Die a Legend"Sijamjua huyo, namkubaligi roddy ricch
Epidemic,heartless ngoma hizo zitaishi sanaPolo G, yupo vizuri tafuta tape yake ya "Die a Legend"
Mkuu unakataaa bure, wengine sie ni fàm kabisa View attachment 2021142
Mkuu unakataaa bure, wengine sie ni fàm kabisa View attachment 2021142
SawaView attachment 2021551basi mnadanganyana sana kwenye iyo familia yenu
Nimeumia sana.....but whhyy kijana bado mdogo..Hivi huko marekani mbona hivi hizo silaha mbona kama njugu tuu.
Acha kuhukumu watu, wewe umeshajua utakufaje?!Namuonea huluma huko anakoenda