RAS mpya wa Mwanza yawezekana ndiye Mbunge mtarajiwa wa Kigoma mjini atakayemrithi Zitto Kabwe

RAS mpya wa Mwanza yawezekana ndiye Mbunge mtarajiwa wa Kigoma mjini atakayemrithi Zitto Kabwe

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Kama ilivyokuwa kwa Harmonize yawezekana kabisa huyu RAS mpya wa Mwanza ndiye chaguo la CCM kwa Kigoma Mjini.

Wakati wa kumuapisha, Rais Magufuli amesema anampeleka kijana huyo mtaalamu wa masuala ya fedha jijini Mwanza ambako ni jirani na kwao Kigoma lakini hategemei kama atatumia ukaribu huo kugombea ubunge.

Maendeleo hayana vyama!
 
Naona Ndugai na jopo la wanaccm wamekaa kikao cha fitina kumtoa Zitto kwa njia yoyote ile. Kwa fitina, CCM wapo vizuri, watamtoa Zitto kama Tundu Lissu. Kama uchaguzi wa serikali za mtaa wenyekiti wa ccm wote walishinda. Sitashangaa kwa hili, Kwa Zitto kutorudi bungeni. CCM ina kina Jecha wengi sana,watapindua matokeo.
Nikulipe mshahara halafu umtangaze mpinzani by Baba J
Huyo kijana namfahamu yupo smart Sana hususani kwenye uchumi kwao ni wilaya ya kibondo mkoa wa kigoma yamkini anaweza kwenda kumtoa zitto pale kigoma mjini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama ilivyokuwa kwa Harmonize yawezekana kabisa huyu RAS mpya wa Mwanza ndiye chaguo la CCM kwa Kigoma Mjini.

Wakati wa kumuapisha, Rais Magufuli amesema anampeleka kijana huyo mtaalamu wa masuala ya fedha jijini Mwanza ambako ni jirani na kwao Kigoma lakini hategemei kama atatumia ukaribu huo kugombea ubunge.

Maendeleo hayana vyama!
Bwashee na atakaemrithi mh Kangi ni nani au fununu hujapata bado?
 
Kwani uchaguzi mkuu wa mwaka huu kura hazitapigwa na wananchi!, naona Lumumba wengi mna matokeo yenu mifukoni.

Mmeshaambiwa uchaguzi uwe huru na haki, sasa nyie endeleeni na ndoto zenu za alinacha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom