Acha mara moja kumfananisha mama na mambo ya ajabu asije kulaanika. Yaani mama unamfananisha na Jiwe [emoji34]Samia ni Magufuli Mwingine.
Ndio maana 2030 tutahitaji tena Magufuli wa kukamilisha kazi za mama!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha mara moja kumfananisha mama na mambo ya ajabu asije kulaanika. Yaani mama unamfananisha na Jiwe [emoji34]Samia ni Magufuli Mwingine.
Ndio maana 2030 tutahitaji tena Magufuli wa kukamilisha kazi za mama!
Kazi Iendelee!Acha mara moja kumfananisha mama na mambo ya ajabu asije kulaanika. Yaani mama unamfananisha na Jiwe [emoji34]
KWA katiba? Ipi mibangi inamsubua huyo rasiMsanii wa kizazi kipya Ras Mtimanyongo anasema tuombe Jah atupe uzima ili 2030 tumshuhudie Magufuli mwingine akitokea ama CCM au Upinzani
Ras anasema safari aliyoianzisha Magufuli ni lazima ikamilike na taifa liokolewe na kunufaika na rasilimali hivyo mchakamchaka ulioshangiliwa na maelfu ya raia mkoani Mara ndio njia pekee itakayolinusuru taifa letu Tanzania.
Maendeleo hayana vyama!