Nae q chief alikua mvutaji?Ah chidi Hana makosa kwa hilo ila yule aliyesaidiwa na raisi kwa pesa za wananchi halafu akarudia tena ananipa hasira Sana
Mbona q chief kaacha mazima maamuzi tu
na yeye apae?amfuate YESU yaani AOKOKE
Na jela tayari aliahaendaga?Hizo line za langa
Sijui kaumia na ninibandage kaumia
akahubir Injilina yeye apae?
Nadhani hujamuelewa edo kumwembeChidi anaishi maisha ambayo ameyachagua yeye mwenyewe,kumuhurumia mtu asiyejihurumia ni kazi bure tu.
We unacheza weweTatizo sio mwanasaikolojia. Hivi eddo anahisi rehab hazina wanasaikolojia????
Huyo chidi anahitaji kukutana na Yesu Kristo ambadlishe just like he did to TERRY FANANI WA HBC
True datNikisiliza nyimbo alizoshirikishwa kama
Nalia na mengi aliyoimba na diamond,
Neila aliyoimba na Tundaman.........
Sijui nani atatokea wa kuziba pengo lake........
Ama kweli hata ukiuona unga mahali huna budi kutimua mbio usije shawishika bure!
Unaona hivyo coz nimecomment tofauti na unavyotaka au ulivyotegemea, kila mtu ana mtazamo wake,sijamjibu Edo bali nimecoment kwa mtazamo wangu.Nadhani hujamuelewa edo kumwembe
Huyu sie bana acheni kupotosha; mara ya mwisho nilimuona kafanana na kingungeView attachment 452186 anatia huruma!
Aje tuu hapa bongo tumpe prime minister nazani hao wakina Chid wataamka wenyewe tuuTunaweza kukomesha hili tatizo kama tukimpa durtete uwaziri wa dunia katika hayo maswala ya kubwia na kulangua
Ina maana hapa kachoka au ana afadhali ukilinganisha na ulivyomwona???Huyu sie bana acheni kupotosha; mara ya mwisho nilimuona kafanana na kingunge
Daaaaahhhh..... [emoji85] [emoji85]View attachment 452186 anatia huruma!