Oxpower
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 2,166
- 3,077
hawa mateja kuwapeleka rehabu sijui wapi huko ni kupoteza pesa tu.
dawa ni kuchukua wote aina ya chidi,peleka jera huko.wakae huko hadi akili ziwarudie,wanasemaga arost sijui nn huko.hata walie na kutoka povu hakuna kuwapa dawa.akianza kulia ni kupeleka shamba akalime huko chapa sana viboko.
kama arosto inaua acha wafe,watakao baki watajifunza kitu
dawa ni kuchukua wote aina ya chidi,peleka jera huko.wakae huko hadi akili ziwarudie,wanasemaga arost sijui nn huko.hata walie na kutoka povu hakuna kuwapa dawa.akianza kulia ni kupeleka shamba akalime huko chapa sana viboko.
kama arosto inaua acha wafe,watakao baki watajifunza kitu