Rashid Othman: Umeshindwa Jiuzulu!

Status
Not open for further replies.
Kwa mujibu wa taarifa tulizozipata hapo juu ni kazi yao.. japokuwa hawaifanyi
 
Suala zima la Radar, limefanyika UK wakati mkurugenzi wa sasa wa usalama akiwa ofisa pale, licha tu ya sasa kuwa mkuurugenzi mkuu, kwa hiyo alipaswa kuwa na majibu yote ya hii ishu, mpaka kina Chenge,

Tunachokisimamia hapa kwenye hii topic tunakijua tena kwa karibu sana, hatuwezi kuwa divided hata siku moja kwenye kusimamia taifa letu, ninakumbuka jinsi tulivyopigania Richimonduli mpka to the end, sasa huu udaku wa oooh sijui wengine hapa ni usalama, ni pure nonesense, kama wapo hapa JF mimi ninawatakia mafanikio mema na wanachokitafuta hapa, kwa sababu haivunjwi sheria yoyote ya jamhuri hapa kwa sisi wananchi kudai ukweli wa jinsi serikali yetu inavyoendeshwa,

Mimi ninasema kuwa tutaendelea tu kuwapigia kelele, maana ninajua for a fact tena kwa karibu sana jinsi zinavyowakosesha usingizi, na jinsi ambavyo wangekuwa na uwezo wa kuitoa hii JF isiwepo tena kwamba they will do it in a minute!

Aluta tu mpaka kieleweke!
 
May be we should look at this matter from a different angle for a minute.

What is the job description of any Security Officer of TISS? Do they know their responsibilities? Has TISS made structural and operational adjustments from Ukombozi Frontline mode to the modern day environment in wake of end of Iron Curtain?

It is critical for us to figure out and help our government to define what is National security!
 

changamoto yako nzuri. Najua WB ilisema nini na BM alisema nini. Najua kuhusu ripoti iliyoandikwa na WB kupinga ununuzi wa rada hiyo na kwanini BM aliikatalia WB kuiweka hadharani, na hata Kikwete na sifa zote hataki na yeye kuiweka hadharani.

Watu hawakukaa kimya, fuatilia niliyoyaandika kuanzia 2001 utaona hatukuanza leo wengine kupigia kelele hii na kusema ilikuwa overpriced. Kinachonishangaza ni hawa TAKUKURU na watetezi wao wanapokuja na kutueleza kuwa "WAnachunguza"...
 
Mchungaji, ni vigumu sana Taifa likajadili tena hili suala la kazi za TISS kwa sababu mwaka 1995-96 ulipoibuka huu mjadala ndio wakapitisha sheria ya Usalama ya 1996, ili kurekebisha au kukamilisha usiri uliokuwa umegubika hii idara kama ilivyo kuwa inaendeshwa chini ya sheria ya 1970.

Moja ya mabadiliko makubwa waliyo yafanya ni kwamba bajeti ya TISS sasa haiendi kisiri siri (haitangazwi, lakini kuna wahusika nje ya TISS wana ruhusa ya kuichambua). Lingine, ni kuiweka TISS kama idara inayojulikana iko sehemu gani katika serikali na chini ya nani.

Kwa hiyo, hili swala ni kama liko settled kwa sasa hivi.
 
Naomba kurudia,

Kumuondoa Rashid Othman hakutasaidia kitu kwa sababu RO si mzizi wa tatizo, tunahitaji a "new breed of leadership" Tanzania. With muungwana at Magogoni there is no guarantee that after lobbying to get RO out, muungwana will not appoint another RO-like goon.

The call to have RO resign is full of idealism and operates under the assumption that the Tanzanian instituitions operate as they should. That presidential appointments are made on merit, and somehow this incompetent director of intelligence slipped through the cracks.

I know this not to be the case, presidential appointments in Tanzania are not necessarily dished out on merit, from ministers, ambassadors, nominated MPs to DCs.The president himself did not climb the ranks by merit, it was by networking and coercion/ deception.

This false sense of textbook case scenario pressure group straightening out our intelligence from the top down will not be productive or effective.There are no easy answers to our problems
I know we have to start with regime change but even that is not an immediate option because the opposition is not ready. Alesser evil would be to have somebody from CCM with the right integrity to straighten out the party and government, but the right integrity demands that people speak out against the chicanery prevailing.And I do not see people doing that, from Shein (who has too many skeletons in his closet, primarily for turning a blind eye to all the corruption) to the venerable Warioba, usually above the cloud of corruption, but whose comments about respect for the presidency and association with Mahalu leaves so much to be desired.

Kwa hiyo lets not pretend kwamba kumtoa RO kutabadilisha chochote, sana sana akitolewa RO ataletwa mwanausalama mwingine Mizengo Pinda joker type.
 
Mzee Es,

Somo ulilotoa kwenye mada hii, asiyeelewa basi ujue kichwa chake ni kikugumu na hataweza kuelewa klitu na sitashangaa nikisikia hata elimu ya ngumbalu ilimtupa nje.
Maswali yako, kama wapambe wa RO wapo basi wampelekee ajibu atuleteee, hii ya kusema alimtaarifu JK huu ni uongo mkubwa JK si mtui wa hivyo.
Tuendelee, lakini Tafiti yuko wapi????? au kapewa ulaji na Mama Tibaijuka?
 
This talk about the opposition not being ready and what not, to put it politely, is balderdash! I don't know what else they need to say for some people to believe in them. I don't know what else they need to do to convince some people that they are ready to take the reigns. CCM is not all that. It is full of incompetent and inept nincompoops but yet still some people think that they are the less of two evils when the opposition has never been given a single chance to showcase what they are capable of. Oh well, Ndivyo Tulivyo!!
 
Vyombo vyetu vya kusimamia uwajibikaji na usalama wa nchi, ikiwemo TISS, havitaweza kufanya kitu cha maana hadi vitakapoamua kusimama huru na kufanya kazi zao kitaaluma. Kwa kiasi kikubwa wa kulaumiwa ni hawa wakuu wa vyombo hivyo. Ukiweli ni kwamba ukisoma sheria za vyombo hivi utakuta kwamba vimepewa nafasi ya kutosha ya kufanya kazi zao ki-uhuru na kitaalamu. Tatizo linakuja kwa hawa wahusika wanapoamua kujipendekeza kwa wale waliowateua badala ya kufanya kazi zao. Ni wao wanaomua kuwapendelea hao wakubwa waliowateua kwa kiwango ambacho hata hao wakubwa huwa wanafika mahala wanashangaa.

Kwa hiyo at the end of the day we have issues with office holders. They dont trust themselves and, as a result, they do not execute their functions independently, impartially and professionally. Ni kwa sababu hii hatujawahi hata siku moja kusikia moja ya wakurugenzi wa vyombo vyetu vya kusimamia uwajibikaji wakijiuzulu kwa kutofautiana msimamo na boss wake.

Kwa hiyo utakuta kwamba kama nchi tunaugua magonjwa matatu yote ya kutisha: unafiki,woga na kujipendekeza. Haya yote yanafanya watu waishi maisha ambayo sio ya kwao, maisha ya uongo na ujanjaujanja. Magonjwa haya pia yamesababisha kaugonjwa kengine nako ni kutokuaminiana. Kwa kuwa tumeona viongozi wengi wamevuruga na tumefika mahala ni kama vile tumeamini kwamba haiwezekani Tanzania uishi bila ujanjaujanja na uongo, basi hatuamini kila mtu.

Tunahitaji sana tujiponye na magonjwa yetu haya, vinginevyo hali yetu itazidi kudidimia.
 
waungwana:

vipofu wawili hawaelekezani njia!!

tunachokifanya hapa ni kujaribu kupapasa upande mmoja wa tembo na kuchukua azimio la jumla kuwa tembo ni kama kitu fulani [kutegemea na ulivyoshika] manake sasa tunaanza porojo za jamaa wa usalama anashinda bar, anaenda ofisi sijui anafanya nini ila anaishi vizuri

wengine wanauliza usalama walikuwa wapi katika a,b,c, na d?! je tunajua mahali wanapokuwa kazini? je tunaweza kujua hapa walitia mkono na kwenye sakata fulani walishindwa? je tunaweza vipi kuthibitisha kuwa wanasema kweli ikiwa kazi ni undercover?

Ndio maana nasema sisi wote hapa ni vipofu hatuelekezani njia!!!

Jizalendo kula tano babake, manake hata mimi namkubali sana MMKJJ katika hoja na mtiririko wa argument zake ila kwa hili I am sad to say he has failed to live up to his own standards, which is a shame thing for a true professional like him...

tukate mawe kwa hoja, ila tukiri kuwa somethings are beyond our scope and you can't form a better judgment through wishful thinking unless we intend to character assassinate RO......
 
Usalama wa taifa ni wa kuwalinda viongozi dhidi ya wananchi!kwa kutumia falsafa kuwa viongozi wakati wote huwa wanachukua maamuzi ya kizalendo na yenye manufaa kwa nchi na hivyo yanastahili kulindwa kwa nguvu zote chini ya viapo! na wao(viongozi wakuu) wanastahili kulindwa dhidi ya wananchi watakao kuwa wakijaribu kudhani kuwa viongozi hao hawafanyi maamuzi ya kizalendo!(maadui wa Taifa)Hivyo basi wanaomtaka mwanausalama aache kulinda siri na kuwatokomeza wote wanaopinga maamuzi na kuwa na fikra za tofauti dhidi ya viongozi..then wawe makini kwani wanausalama wanawachukulia watu kama hao kuwa ni maadui wa usalama wa taifa!Hilo ndio jibu fupi na sahihi.
 
sasa chnge ambaye SFO wamemu implicate kwenye ripoti huyoo anaondoka...iweje huyu kenge ambaye angetakiwa agundue kabla ya SFO ..hajakabidhi resignation letter yake hadi sasa!!!!!!!!!!!
 
Philemon, tumeambiwa kuwa UwT hawahusiki na kuzuia mambo hayo yanayohusu matumizi ya fedha zetu. Wao wanatakiwa kuwa "washauri" tu lakini kwenye mambo ya economic sabotage au kuiba Benki Kuu hawatakiwi kugusa.
 
Kikwete inabidi afanye linalowezekana kuwaumbua Che Nkapa na wezake kwani kila akijaribu kuwalinda na yeye anasogea zaidi kwenye kuusishwa na ufisadi wao.
Hakikishe taarifa za mafisadi zikimfikia azifanyie kazi baadala ya kusubiri kelele za wananchi.
 

Are you serious?..
Kwa hiyo wao kazi yao ni kuwachunguza wanaJF na kulinda viongozi mafisadi tu?
Mmhh..kweli afrika mambo bado!
 


kikwete hawezi kujitenganisha na mkapa...alikuwa kwenye senior position kwenye sewrikali ya mkapa akienda naye kila mahala....deal kama rada..kikwete alihusika kwa kiasi kikubwa kufanikisha na alioongoza kampeni ya kimataifa,ndege,....hata deal la ubalozi wa italia limefanyika akiwa waziri ni yeye..hakuna wa kusema eti alikuwa hajui ..hiyo itakuwa siasa...kwa hiyo umakini wa kikwete hapa unatokana na hatari ya yeye kuhusishwa...

ukija kwenye EPA ..lazima na kila mtu anajua lile lilikuwa daeal la wanamtandao ku finance uchaguzi...

ukirudi nyuma ..aliye sterlin deal la kwanza la kifisadi la nishati nchi hii...na hata chenge anajua siri hiyo ...IPTL..waziri alikuwa ni kikwete ....
akiwa nishati ..ndiye aliyekuwa wakwanza kuwauzia mgodi uliokuwa wa wachimbaji wadogo kule geita kwa wazungu...

simply kikwete alikuwa part and parcel ya hizi process...namshauri achape kazi kuliko kupoteza muda wa wananchi kuchimbana chimbana...ya wenzake tumeyaona...yake tunayasubiri maendeleo....

aachie vyombo vya dola kushughulikia haya...yeye akazane kuhakikisha uchumi unakuwa kwenye utawala wake ..tutamkumbuka kama atafanya hayo ...asiwe WARREN G !!!!
 
What is our National Security Policy?
Bottom line ni sisi wananchi wa kawaida tulie na viongozi wetu na kuileta katiba yetu mezani wakati huu muhimu na kuwanyumbulishia viongozi wetu kuwa katiba inatulinda na wananusalama wanatakiwa wayalinde matakwa ya wananchi kwani ndio waliowaweka hao viongozi wanaowalinda madarakani!Katiba ni lazima iletwe mbele za mjadala huu wa wananchi na waliopewa dhamana ili tuweze kujua kuwa katiba yetu inasema nini kuhusiana na namna ya kudeal na huu ufisadi!Itakuwa rahisi zaidi kama tukili approach hili suala in this way!Kama Mh Rais anashindwa kuiangalia katiba na kushindwa kua act accordingly..then we should figure out if tatizo ni Mh Rais ama ni katiba yetu!Baada ya hapo then tutajua kama tubadilshe katiba,rais ama vyote!Ndio maana tunataka hali ya hatari itangazwe!This issue si serious lakini wao nia yao ni kutaka wananchi wa kawaida waone sio big deal!Hilo halitowezekana kwasababu umasikini umebobea!Na ndio maana Chenge na kauli yake ya vijisenti aliumbuka!Ndugu zangu ni wazi watanzania wa sasa hivi tunatofautiana mno kiasi cha kwamba kuna matabaka ambayo hata hayajui wenzao wananishije licha ya kwamba wamepewa dhamana ya kuwalinda wao na mali zao na kuwaletea maendeleo!
 
Are you serious?..
Kwa hiyo wao kazi yao ni kuwachunguza wanaJF na kulinda viongozi mafisadi tu?
Mmhh..kweli afrika mambo bado!
Ninavyoelewa mimi wao ndio wenye majukumu ya kuhakikisha kuwa fikra zote za viongozi hazi athiriwi kwa namna moja ama nyingine during implimentation of those ideas!Kwao wao wamelishwa kiapo kuwa watazilinda na ni sahihi all the time! na pia kuwashughulikia wote wanaozipinga fikra hizo kwao ni uzalendo halisi na ulinzi wa usalama wa mali za taifa,viongozi na wananchi wake!Katiba jamani!I have been saying that all the time!
 
Icadon, umeuliza swali muhimu na tunaweza kuliweka katika mwanga wa kile kinachoitwa sera yetu ya mambo ya nje ijulikanayo sana kama "Diplomasia ya Kiuchumi".. Je, sera yetu ya Usalama wa Taifa inaweza kwa namna yoyote ile kureflect diplomasia ya Uchumi?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…