Game Theory
JF-Expert Member
- Sep 5, 2006
- 8,546
- 855
Nadhani you guys are barking on a wrong tree. Nitarudia kusema kuwa R.O ni innocent kwenye hili na wewe mheshimiwa ambaye hupendi ni jadili mambo ya uslama wa Taifa naomba usinitumie PM
R.O ni innocent kabisaa sema tatizo hamtaki kuwataja waheshimiwa ambao wana msabotage..na sabotage dhidi yake ilianza from DAY 1 kila mtu analijua hili.
Issue nzima ya R.O huwa haijadiliwi based on facts lakini zaidi on elitism na mbaya zaidi ni kwa sababu the guy never went to any of the red brick universities
Ipo thread ilianzishwa na ICADON pamoja na REV kishoka tulijadili kwa kinaga ubaga mambo ya Usalama wa Taifa..
USALAMA WA TAIFA WAKO LIKIZO:
http://www.jamboforums.com/showthread.php?t=10207&highlight=TISS
na mindhali kuna watu wanataka tujadili issues then tunaomba msaada wa hii thread iwe merged na hii:
RASHID OTHMAN NDIYE BOSI USALAMA WA TAIFA
http://www.jamboforums.com/showthread.php?t=169&highlight=TISS
R.O ni innocent kabisaa sema tatizo hamtaki kuwataja waheshimiwa ambao wana msabotage..na sabotage dhidi yake ilianza from DAY 1 kila mtu analijua hili.
Issue nzima ya R.O huwa haijadiliwi based on facts lakini zaidi on elitism na mbaya zaidi ni kwa sababu the guy never went to any of the red brick universities
Ipo thread ilianzishwa na ICADON pamoja na REV kishoka tulijadili kwa kinaga ubaga mambo ya Usalama wa Taifa..
USALAMA WA TAIFA WAKO LIKIZO:
http://www.jamboforums.com/showthread.php?t=10207&highlight=TISS
na mindhali kuna watu wanataka tujadili issues then tunaomba msaada wa hii thread iwe merged na hii:
RASHID OTHMAN NDIYE BOSI USALAMA WA TAIFA
http://www.jamboforums.com/showthread.php?t=169&highlight=TISS