Rashid Shamte ni nani?

Rashid Shamte ni nani?

Haya Majina haya bwana ,pale Moro Mafiga,kuna Bodaboda Anaitwa Rashid Shamte,nikadhani huyo kumbe siyo huyo
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Duh sasa kama huyu Shamteh alisaupport Chama Chetu Kikuu kipindi cha capaign kwa zile hate msg zao leo inakula kwake hivi hivi?

Hakika nawaambieni mara hii hakuna atakayepona .....

Vuteni Popcorn Movie ndio kwanza Trailler

Meno ya Mbwa hayo mkuu kuumana ni nadra sana.
 
Amewaacha wazee wakasote selo yeye anakula Bangi zake uraiani!!! Shame Shamte!!! Bado Erick wa WIA....namsubiri siku na yeye aje apande Kisutu ameiba sanaa kodi za TRA....tunajua michezo yake yoote....TRA waje tutawapa data zake.....na zile dharau zake akashike mtondoo wa mavi jela...namsubiria sana...watakutana na wasanii wenzake wapo wengi tu kina Isaac Kasanga!! Ndio wale wale!!!
 
Hii kampuni ilitumika kwenye Uchakachuaji wa matokea ya uchaguzi wa ccm na kuna pesa ilipitishwa huko ikiwa ni pesa za January na wenzake lakini inasemekana Rashid shamte kawadhulumu hiyo pesa huku akifukuza wale wote waliokuwa wakionyesha kutounga mkono huo mchezo wa Hatari na inasemekana pia hii ni mara ya pili Rashid anawaingiza town kwani hata uchaguzi wa 2010 aliwapiga pesa zao walizopitishia kwake.
Duh, sasa kama hayo ni ya kweli, kwamba amekuwa akiwaingiza "town" wabia wake katika uhalifu, si hatari kiasi kwamba wangeweza kumtanguliza mbele ya haki!!!??
 
Shamte huyo ndo wa kina Dr Ringo?
 
Duh! Kazi ipo.
Jamii forum wewe kiumbe kibaya sana unatunza kumbukumbu kama huna akili nzuri!
Binafsi nakuombea maisha mema ndugu yetu .
 
RIP Rashid Shamte:-

Screenshot_20241227_184139_Instagram.jpg
 
Rashid Shamte wa Six Telecom hana uhusiano wa nasaba na Salim Shamte wa Mkonge.
Wote ni marehemu sasa kwa maelekezo ya kinyama ya Magufuli. Naye Magufuli ni marehemu pia. Dunia hii tumuachie Mungu pekee ndiyo aite watu wake, kamwe TUSIJIKWEZE kama Magufuli
 
Back
Top Bottom