Kuna kipindi alikua anahojiwa ni kweli hajazeeka kama vile ana miaka 20 tena hajapaka make upAmemuona Live Ama Kamuona Mitandaoni Na Pictures Za Kuosha
na chakula pia ugali na wali vinazeesha sana!To stay young is genetics or lifestyles?
Ngono inazeesha hasa kwa ke, ukikitembeza sana unakongorokaTokea juu nimeona unasema stress za ngono!
Kwamba Rashda yeye hafanyi sana? Unamjua Rashda lakini🤔
Ngono haihusiani na chochote udongo ndio unamatter
Unamjua wanjaraNadhani labda kinachowazeesha wanawake wa GENz ni stress na ngono kupita kiasi
Unamjua wanjara
boss wa bunyeroo au unaongea tu😂
HahahahaSalamu zienje kwa wanjara ,don masha kwenye BUNYERO,mwambie simba kachalala anataka MSAMBWANDA KWA BUKU JERO.
1996 nipo magomeni pale home makanya ndio alikuwa dada wa mtaa.Anaweza akawa na miaka 50 ,na ngapi kwa sasa?
Wanga kwa ujumla ,ngano nayo ni balaana chakula pia ugali na wali vinazeesha sana!
Hatariiiiii1996 nipo magomeni pale home makanya ndio alikuwa dada wa mtaa.
Mdogo wake wa kiume anaitwa Omari kidole miaka hiyo alikuwa anapenda kunyonya Sana kidole gumba.
Kwa sasa mchizi yupo analinda Nchi na Ni mtu smart Sana asee.
Sasa kuanzia kipindi hicho hadi sasa asee huyu sister ni balaa.
YamelalaHadi matiti yake bado yamesimama