Rashida Wanjara amegoma kuzeeka

Rashida Wanjara amegoma kuzeeka

Anaweza akawa na miaka 50 ,na ngapi kwa sasa?
1996 nipo magomeni pale home makanya ndio alikuwa dada wa mtaa.

Mdogo wake wa kiume anaitwa Omari kidole miaka hiyo alikuwa anapenda kunyonya Sana kidole gumba.
Kwa sasa mchizi yupo analinda Nchi na Ni mtu smart Sana asee.

Sasa kuanzia kipindi hicho hadi sasa asee huyu sister ni balaa.
 
1996 nipo magomeni pale home makanya ndio alikuwa dada wa mtaa.

Mdogo wake wa kiume anaitwa Omari kidole miaka hiyo alikuwa anapenda kunyonya Sana kidole gumba.
Kwa sasa mchizi yupo analinda Nchi na Ni mtu smart Sana asee.

Sasa kuanzia kipindi hicho hadi sasa asee huyu sister ni balaa.
Hatariiiiii
 
Yani ki ufupi watu wa kanda ya ziwa hasa mkoa wa Mara aisee udongo wao huko ni balaa hawazeeki hovyo..fanyeni utafiti...
 
Back
Top Bottom