MoseKing
JF-Expert Member
- Jul 5, 2017
- 4,928
- 8,976
Mchanganuo.
- Mikopo inayokopwa inaonekana ndio hutumika katika (Miradi mikubwa kama SGR, Rami, Nyerere Gorge na kulipa mikopo mingine.
- Tozo za Mafuta na simu hufanya (miradi midogo Kama madarasa, majengo ya Vituo vya Afya )
- Misaada kutoka kwa wazungu ndio hugharamia huduma za (Afya)
- Kodi za TRA ndio hutadhili (Anasa za Wanasiasa) na teuzi Kama magari ya kifahari, miposho, chaguzi, na takrima.
- Mikopo inayokopwa inaonekana ndio hutumika katika (Miradi mikubwa kama SGR, Rami, Nyerere Gorge na kulipa mikopo mingine.
- Tozo za Mafuta na simu hufanya (miradi midogo Kama madarasa, majengo ya Vituo vya Afya )
- Misaada kutoka kwa wazungu ndio hugharamia huduma za (Afya)
- Kodi za TRA ndio hutadhili (Anasa za Wanasiasa) na teuzi Kama magari ya kifahari, miposho, chaguzi, na takrima.