1) Ibara 212 (2) inathibitisha ya kuwa kazi ya uteuzi wa tume ya haki za binadamu ni kazi ya tumeya utumishi wa umma na ndiyo maana wamepewa majukumu ya kushauri kwenye masuala ya kinidhamu sasa ile tume ya uteuzi mbona isizifanye hizi kazi za kuthibiti nidhamu? Wao tume ya uteuzi ni kujaza nafasi tu lakini uthibiti wa nidhamu wanaingia mitini sasa inakuwaje ajira na nidhamu vitenganishwe kama siyo kuleta vurugu? Tume ya utumishi wa umma itafanyakzai zake vizuri kama itapewa mamlaka ya ajira na nidhamu kwa pamoja siyo kutupia Magana na ndizi iwe imeliwa na kama ya uteuzi ambayo sifa za wajumbe ni ujaji mkuu, uspika na ukamishina tu!