RASIMU | Tanzania Diaspora 2015 Kupiga Kura

Mtumbatu

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2012
Posts
363
Reaction score
171
IBARA 180 (3) (e)

(3) Ili kutekeleza masharti ya Ibara ndogo ya (1) na (2), mamlaka ya nchi itaweka utaratibu wa sheria utakaowezesha:

(e) kuweka utaratibu wa kuandikisha raia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wanaoishi nje ili kuweza kupiga kura katika uchaguzi au kura ya maoni;
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…