Mtumbatu
JF-Expert Member
- Apr 27, 2012
- 363
- 171
IBARA 180 (3) (e)
(3) Ili kutekeleza masharti ya Ibara ndogo ya (1) na (2), mamlaka ya nchi itaweka utaratibu wa sheria utakaowezesha:
(e) kuweka utaratibu wa kuandikisha raia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wanaoishi nje ili kuweza kupiga kura katika uchaguzi au kura ya maoni;
(3) Ili kutekeleza masharti ya Ibara ndogo ya (1) na (2), mamlaka ya nchi itaweka utaratibu wa sheria utakaowezesha:
(e) kuweka utaratibu wa kuandikisha raia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wanaoishi nje ili kuweza kupiga kura katika uchaguzi au kura ya maoni;