hekimatele
JF-Expert Member
- May 31, 2011
- 9,890
- 2,795
Ndugu zangu, katika rasimu hii mpya ya katiba kuelekea katika mchakato wa kupata katiba suala la ardhi halijatolewa ufafanuzi wa kutosha. Nini maoni yenu wanajamii?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tanganyika pia itakuwa kama hivyo. Itabidi muachie ardhi yetu bila masharti!Ardhi sio jambo la muungano kila pande itaamuavyenyewe, ila kwa sisi znz ipo clear watanganyika hamruhusiwi kumiliki ardhi yetu.
hawaruhusiwi ni watanganyika tu, au watu wengine kutoka nchi za nje kama oman kenya uingereza muskat nk?Ardhi sio jambo la muungano kila pande itaamuavyenyewe, ila kwa sisi znz ipo clear watanganyika hamruhusiwi kumiliki ardhi yetu.
Ardhi sio jambo la muungano kila pande itaamuavyenyewe, ila kwa sisi znz ipo clear watanganyika hamruhusiwi kumiliki ardhi yetu.