Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 9,524
- 13,682
Ni dhahiri kuwa CCM imeparaganyika kutokana na rasimu ya katiba iliyotolewa na Warioba! CCM sasa wameadhimia kutumia mabaraza ya wilaya ambayo wana wajumbe wengi na mabaraza ya kitaasisi yatakayoundwa na CCM kuwaburuza wanachama wao waipinge rasimu hii na kuendelea kuwa na serikali mbili!
Hivyo ili kukabiliana na upuuzi huu wa CCM, CHADEMA wanapaswa kutoa dira kwa Watanzania wote ili mbinu hii chafu ya CCM isifanikiwe! Ukweli ni kwamba hata wana- CCM wenyewe wanatofautiana kwa kiwango kikubwa kuhusu suala hili. CHADEMA haina budi kuchukuwa fursa hii ya mparaganyiko ndani ya CCM kuwaongoza Watanzania wote kupata katiba ya kudumu ya nchi hii kwa miaka 100 ijayo!
Hivyo ili kukabiliana na upuuzi huu wa CCM, CHADEMA wanapaswa kutoa dira kwa Watanzania wote ili mbinu hii chafu ya CCM isifanikiwe! Ukweli ni kwamba hata wana- CCM wenyewe wanatofautiana kwa kiwango kikubwa kuhusu suala hili. CHADEMA haina budi kuchukuwa fursa hii ya mparaganyiko ndani ya CCM kuwaongoza Watanzania wote kupata katiba ya kudumu ya nchi hii kwa miaka 100 ijayo!