Rasimu ya Katiba na Sikukuu za Kitaifa

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,258
Rasimu ya Pili ya Katiba imetaja sikukuu za kitaifa<br><ol><li>Mapinduzi ya Zanzibar</li><li>Uhuru wa Tanganyika <br></li><li>sikukuu nyingine zitakazoainishwa na sheria<br></li></ol><br>hapa Rais hatakua na mamlaka ya kutangaza sikukuu za taifa bali sheria<br><br>
 
naona imeparaganyika

sikukuu za kitaifa zitakua

  1. Mapinduz ya Zanzibar (12 januari)
  2. Uhuru wa Tanganyika (9 disemba)
  3. na sikukuu nyingine zitakazoanishwa na sheria
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…