Rasimu ya Katiba na Sikukuu za Kitaifa

Rasimu ya Katiba na Sikukuu za Kitaifa

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,258
Rasimu ya Pili ya Katiba imetaja sikukuu za kitaifa<br><ol><li>Mapinduzi ya Zanzibar</li><li>Uhuru wa Tanganyika <br></li><li>sikukuu nyingine zitakazoainishwa na sheria<br></li></ol><br>hapa Rais hatakua na mamlaka ya kutangaza sikukuu za taifa bali sheria<br><br>
 
naona imeparaganyika

sikukuu za kitaifa zitakua

  1. Mapinduz ya Zanzibar (12 januari)
  2. Uhuru wa Tanganyika (9 disemba)
  3. na sikukuu nyingine zitakazoanishwa na sheria
 
Back
Top Bottom