Rasimu ya katiba: Tanzania bara isomeke kama Tanganyika

Rasimu ya katiba: Tanzania bara isomeke kama Tanganyika

Bandio

Senior Member
Joined
Feb 19, 2012
Posts
101
Reaction score
12
Kama watanzania tutaikubali rasimu ya katiba kuwa Katiba ya Jamhuri ya Muuungano ya mwaka 2013 na kwa kuwa inapendekeza mfumo wa serikali tatu, basi ni vizuri badala ya serikali ya bara kuitwa serikali ta Tanzania bara iitwe serikali ya Tanganyika.
 
Back
Top Bottom